I'm too lazy to be a housewife

I'm too lazy to be a housewife

Wapo wengi sana.... And I GOT MINE[emoji136]

Wewe mwanaume wa Maghojoa huwezi elewa hizi mambo maana akili yako ni finyu
kabisa hawawezi kuamini lakini kuna wanaume ni sent from heaven....very understanding
 
Acha t midume yetu iwagegede mahousgirl mana ndo wenye majukum ya mke , we mke et uko bize unatafuta shilingi, ulikubalian nini kuolewa kama u housewife hauuwez? C ungekaa kwenu au ungekaa peke yako, et unakuta mke hata kufua boxer za Mme hawezi, shuka alizokojolea yeye na dume lake housegirl ndo anafanya, aibu kwenu wanaweke wa dizain hii
 
sio kila mwanamke anafaa kua mama acha tuendelee kukufaidi hadi ufungue iko kichwa chako
 
Bora kuondoa ndugu lakini si dada au kaka wa kazi.

Hakuna umuhimu wa kaka wa kazi
unless kuna mifugo..

Dada wa kazi umuhimu wake ni mke kama mjamzito
au nyumba ina watu tele

kama nyumba ina mtoto mmoja tu mkubwa above 8 years
dada wa kazi hakuna umuhimu wa kuwepo
unless analinda nyumba....
 
tumewapata wa hivyo...sema wewe huwezi ila kuna wanaume wanaojielewa kati yenu,mambo yanabadilika si kama zamani wote tunatoka asubuhi na kurudi jioni...wote tumechoka....tukifika wote tunasaidiana siku inaisha kwa furaha kabisa,ni reality sio story hio nnayokupa
wanaojielewa kwikwikwikwikwiii
 
Acha t midume yetu iwagegede mahousgirl mana ndo wenye majukum ya mke , we mke et uko bize unatafuta shilingi, ulikubalian nini kuolewa kama u housewife hauuwez? C ungekaa kwenu au ungekaa peke yako, et unakuta mke hata kufua boxer za Mme hawezi, shuka alizokojolea yeye na dume lake housegirl ndo anafanya, aibu kwenu wanaweke wa dizain hii
hapa unaongea na wanawake walioolewa na wanaume wa kibongo wenye expectations hizo halafu mwanamke akamchenjia humo ndani.

haya mambo mnakubaliana kabla hamjahamia. mimi siwezi kuhamia kwako, kwa mfano
 
Wanaume generaly wanapenda kuabudiwa,kujiskia wako na say nyumbani ndio maana wanaoa kijijini wengine just kumaksure anamcontrol mkewe na wengine kuogopa challenge za mwanamke 'msomi'....its man' s ego............basi atataka akuendeshe kijeshi ,ufue upike bado anataka usiku akusumbue ngumu sana....
 
sio kila mwanamke anafaa kua mama acha tuendelee kukufaidi hadi ufungue iko kichwa chako
my mom always cooked for us and was always busy with House chores on weekends hata ukienda kumuongelesha unaona unamchosha. kwanza nilikuwa naona bora asipike amwachie dada manake itabidi nimsaidie

umama ni nini kwako?

kujipinda kumfulia na kumpikia mtoto?

how about ujipinde kuspend naye!

kupikiwa chakula na umpendaye is vizuri sana. so I'll cook once in a while and expect that from the man too.
 
acha kulazimisha bro. unataka kunitishia na ratio ya wanaume kwa wanawake! comon! sio huku nilipo. .

Ni nani kaongelea maswala ya ratio dada angu?

labda huko vijijini. au ofisini kwako ratio ikoje? wanaume wengi mnooo unachagua tu..

sio kila mtu yuko kijijini na sio kila mtu yuko ofisini!
 
my mom always cooked for us and was always busy with House chores on weekends hata ukienda kumuongelesha unaona unamchosha. kwanza nilikuwa naona bora asipike amwachie dada manake itabidi nimsaidie

umama ni nini kwako?

kujipinda kumfulia na kumpikia mtoto?

how about ujipinde kuspend naye!

kupikiwa chakula na umpendaye is vizuri sana. so I'll cook once in a while and expect that from the man too.
aiseeeee!!!
 
Hakuna umuhimu wa kaka wa kazi
unless kuna mifugo..

Dada wa kazi umuhimu wake ni mke kama mjamzito
au nyumba ina watu tele

kama nyumba ina mtoto mmoja tu mkubwa above 8 years
dada wa kazi hakuna umuhimu wa kuwepo
unless analinda nyumba....
Dada au kaka wa kazi ni wa muhimu au sio wa muhimu kutegemea na mazingira ya nyumba husika yalivyo. Ila kiujumla, kwa familia zetu za kiafrika, kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na dada au kaka wa kazi. Hata kumtuma dukani tu jamani.

Mazingira yetu ya Afrika hayako convenient na rafiki, wasaidizi ni muhimu.
 
Kudos to all housewives.

hivi mlipimaje pimaje hadi mkafikia huo uamuzi?

nimepima weeee pamegoma kabisa.

kazi za nyumbani zinachosha sana. utachujika fasta! kila siku atakukuta na night dress aliyokuacha nayo asubuhi.

na siamini kuwa kazi za nyumbani ni kazi ya mwanamke, SAMAHANI SAANA.
sipendiiii hizi pilika.

Nitakubali kukaa nyumbani kulea.. sio kufanya kazi. na sio permanently.

mwanamke kazi kwa mume dyu dyu tuu!
Sasa kama huwez japo kupika chakula chako mwenyew. Kuna nin utaweza? Mim napika mwenyew na kazi zote mwenyew. Na naenjoy sana.
Piga vita uvivu ndugu yangu. Uvivu ni ndugu yake umaskini.
NB: ONDOA UVIVU ONDOA UMASKINI
 
Back
Top Bottom