brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,300
[emoji23] [emoji23] [emoji23] that could be you...ngoja paulo aje..nope. not a clue.
lol
[emoji23] [emoji23] [emoji23] that could be you...ngoja paulo aje..nope. not a clue.
lol
uvivu kwani nashinda nyumbani!!Sasa kama huwez japo kupika chakula chako mwenyew. Kuna nin utaweza? Mim napika mwenyew na kazi zote mwenyew. Na naenjoy sana.
Piga vita uvivu ndugu yangu. Uvivu ni ndugu yake umaskini.
NB: ONDOA UVIVU ONDOA UMASKINI
Ni ngumu kwako tu dada. Wenzio ndo wanapendelea hivyo. Umekula hasara kama umekosa mume wa kukucontrolWanaume generaly wanapenda kuabudiwa,kujiskia wako na say nyumbani ndio maana wanaoa kijijini wengine just kumaksure anamcontrol mkewe na wengine kuogopa challenge za mwanamke 'msomi'....its man' s ego............basi atataka akuendeshe kijeshi ,ufue upike bado anataka usiku akusumbue ngumu sana....
kazi za nani sasa...??Ofcourse kazi za nyumbani sio kazi za mwanamke. Ni basi tu....
Kwa mujibu wa maelezo yako, wewe hata zile siku ambazo huendi popote basi hutaki kufanya kazi za nyumbani. Wala hupendi mambo ya kujishughulisha na familyuvivu kwani nashinda nyumbani!!
naamka Saa kumi na nusu kila siku. kufika nyumbani jioni.
kama naonekana bado mvivu basi bora niitwe mvivu tu
kumbe mahousewife wanakaaga tu hawana kazi eeeeh????
Basi unaemzungumzia hapa sio housewife, kama unaenda kazini na kurudi kama mumeo hio inaeleweka na hamna atakaekushangaa sana ukisema unachoka.uvivu kwani nashinda nyumbani!!
naamka Saa kumi na nusu kila siku. kufika nyumbani jioni.
kama naonekana bado mvivu basi bora niitwe mvivu tu
kweli.Kwa mujibu wa maelezo yako, wewe hata zile siku ambazo huendi popote basi hutaki kufanya kazi za nyumbani. Wala hupendi mambo ya kujishughulisha na family
Hivyo ndivyo nilivyokuelewa.
I thank God he totaly understands me...house chores zinachosha si utani ntafanya kwa moods atleast weekends ila sio kila siku,ukiolewa na mbongo hayo mambo utafanya tu.......
Hili ni janga kweli kweli.......hivi siku hizi ndiyo mambo mnayofundishana kwenye KITCHEN PARTY... hakuna haja za KITCHEN PARTY ni ujinga na kuharibika tu, kama ndo utamaduni wetu wa tanzania basi tume-failKudos to all housewives.
hivi mlipimaje pimaje hadi mkafikia huo uamuzi?
nimepima weeee pamegoma kabisa.
kazi za nyumbani zinachosha sana. utachujika fasta! kila siku atakukuta na night dress aliyokuacha nayo asubuhi.
na siamini kuwa kazi za nyumbani ni kazi ya mwanamke, SAMAHANI SAANA.
sipendiiii hizi pilika.
Nitakubali kukaa nyumbani kulea.. sio kufanya kazi. na sio permanently.
mwanamke kazi kwa mume dyu dyu tuu!
I don't get you!Basi unaemzungumzia hapa sio housewife, kama unaenda kazini na kurudi kama mumeo hio inaeleweka na hamna atakaekushangaa sana ukisema unachoka.
/ˈhaʊsˌwaɪf/
noun (pl) -wives
1.
a woman, typically a married woman, who keeps house, usually without having paid employment
hiyo ni nature hadi Mwenyenzi Mungu analijua hilo.Wanaume generaly wanapenda kuabudiwa,kujiskia wako na say nyumbani ndio maana wanaoa kijijini wengine just kumaksure anamcontrol mkewe na wengine kuogopa challenge za mwanamke 'msomi'....its man' s ego............basi atataka akuendeshe kijeshi ,ufue upike bado anataka usiku akusumbue ngumu sana....
its you!nope. not a clue.
lol
wewe ni mwanamke na sifa ya umama hauna.my mom always cooked for us and was always busy with House chores on weekends hata ukienda kumuongelesha unaona unamchosha. kwanza nilikuwa naona bora asipike amwachie dada manake itabidi nimsaidie
umama ni nini kwako?
kujipinda kumfulia na kumpikia mtoto?
how about ujipinde kuspend naye!
kupikiwa chakula na umpendaye is vizuri sana. so I'll cook once in a while and expect that from the man too.
funny because kuna kipindi nilibaki na baba peke yake nyumbani nikaona nateseka kweli nikaishia zangu hostel.
KUPIKA KAZI HATA KUPIKIA WATU WAWILI. unless ndo ndo wale wanapikia waume zao wali na supu ya nyama haijaungwa.
kweli sio hobby yangu.
And i dont think a lot of people got you.I don't get you!
nimesema I'm too lazy to be a housewife because its a lot of work!
sina mpango wa kumfunda mwanamke yeyote yule. na mengi niliyofundishwa ndo kama hivyo nimekayakataa.Hili ni janga kweli kweli.......hivi siku hizi ndiyo mambo mnayofundishana kwenye KITCHEN PARTY... hakuna haja za KITCHEN PARTY ni ujinga na kuharibika tu, kama ndo utamaduni wetu wa tanzania basi tume-fail