Recent content by Nokchuno

  1. Nokchuno

    Kwanini wanaume wengi wa Tanzania hawapigi mswaki?

    Hadi wa Mongolia, kambodi Na wa jamhuri ya Paraguay. Wengi tuu hawapigi siyo waTz tu.
  2. Nokchuno

    Ukweli kuhusu shape ya Dunia

    Poor reasons poor evidences, poor you. Tafuta vitu vya ku criticize Vya level flani ya chini kabisa. Wenzako wanakuambia dunia ni duara kwasababu wameshasimama hadi kwenye mwezi Na kuiona dunia kama wewe unavyoona mwezi..
  3. Nokchuno

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Usikate kuna watu wameolewa Na miaka 47, we mtoto mdogo unalalamika. Kuwa mwaminifu mbele za Mungu so kwa mwanadamu. Usiwaonee wivu wenzako shetani atakushikilia hapo.
  4. Nokchuno

    Hahah ishawahi kukuta hii?!

    Ushawahi kwenda kwa hoteli kunywa chai na chapati na uko na 1000 tu Kidogo ukaanza kunywa unaona 1000 ingine chini unaikanyaga unaagiza tena chai na chapati Ukamaliza ukaenda kulipa kumbe ile 1000 uliokota ni yako ilikuwa imeanguka
  5. Nokchuno

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    NIMEMUELEWA SANA OMY D, NIMEMKUBALI. DIAMOND CHOKO TU.
  6. Nokchuno

    Wizara ya Elimu yawaasa vijana kutumia Elimu kujiajiri

    Shuleni sisi hatuwafundishi kujiajiri, tunawafundisha history kiswahili, civics, geography etcetera... Kibaya masomo ya kilimo na biashara yalifutwagwa shule za sec... Sera ya elimu ya Tz ni mbovuuuuuuuu
  7. Nokchuno

    Taasisi ya Urais iheshimiwe

    Hah ccm bana, yaani wewe ndo mwenye malezi ya ulevi unamsingizia mwenzio... Taasisi ya urais taasisi ya urais,,,
  8. Nokchuno

    Taasisi ya Urais iheshimiwe

    Ng'ombe wa ccm bana, acha ung'ombe wewee, hii nchi siyo ya rais ni ya watanzania na hakuna aliye juu ya sheria rais akiongea upupu inabidi aambiwe kaongea upupu..
  9. Nokchuno

    Bei ya vitu imepanda sababu ya shinikizo la kutoa risiti za VAT

    Hii nchi ni taajirih, (in pombes voice)
  10. Nokchuno

    Huu mchezo unaitwa 'mzungukeni'. Kupunguza PAYE na kuongeza VAT

    Mkuu Mungu atusaidie tu. Hakuna namna
  11. Nokchuno

    Bei ya vitu imepanda sababu ya shinikizo la kutoa risiti za VAT

    Kama unasafiri tokea Arusha kuelekea dar, kokote utakapokula utagundua chakula kimepanda kwa buku soda kwa jero... Ni kwasababu hiyo buku na hiyo jero ni vat. Sasa asikudanganye mtu kwamba wafanyabihashara watagawana faida yao na serikali. Wafanyabihashara ni mawakala tu wa serikali katika...
  12. Nokchuno

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    Pole mwaya, sisi wanaume huwa Mungu katuumba na tamaa, usikubali kuwa mbali na mwanaume wako hata kama ni baba mchungaji. Ni very rare kukutana na mwanaume anayeweza kuhimili kukaa mbali na Mpenzi wake bila kuchepuka. Ni 1/7000
Back
Top Bottom