Killerman
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 326
- 183
Ukiona mtu anazungumzia jambo la kupewa vitu vidogovidogo ujuwe anajuwa kuwa maisha ndivyo yalivyo kwa kuwa huko aliko huwa wanafanya hivyo.Ni tofauti sanaa. Pengine unayo direct interest na ccm, ntajuaje kama ww ni green guard, au ntajuaje ww ni paulo makonda.
Ukawa watu hawazugwi kama ccm, ukawa watu wanaelezwa tu ukweli ambao wenyewe wanauona, ccm watu wanazugwa kwa kupewa viela vidogo vidogo, vinguo na chakula, huo ndo uzugaji, ukawa watu wanaenda wenyewe hawalazimishi, kuwa ukawa ni kuwa upande wa Mungu kwa lengo la kupambana na shetani ccm na wafuasi wake wote...
Kama hauna maslahi ya moja kwa moja na ccm, nakuweka kwenye kundi la masikini waoga, wajinga, wapumbavu na waliopitwa na wakati.
Na nikueleze kwa mara ya mwisho kwamba ukawa imejaa watu conscious wenye njaa na kiu ya maendeleo ya kila mtanzania ukiwemo wewe usiyejitambua, kilaz.a.
Afadhari wewe ushajionesha wazi kuwa ni mfuasi wa Ukawa, mie mwenzio hata chama sina.
Huwa nasukumwa na mtazamo wangu juu ya ccm iliyoko madarakani na ccm ambayo haiko madarakani naona hii ambayo haiko madarakani ambayo inahitaji kupewa madaraka kwa namna yyte ile ( hata ya kubadili gia angani na kula matapishi yake yaliyokuwa yakitapikwa naye kwa zaidi ya miaka kumi (kutuaminisha kuwa fulani ni Fisadi papa, na leo hii huyo ni Shujaa/ kamanda papa ) ).' Naona hii ndio kabisaaaaa zuga na danganya toto... Yaani hawa ndio walaghai kabisaaaaaaa
Mie naona ni watu wanaopenda siasa maji taka, kuchafuana hawana hoja bali ni kupinga kila kitu...
Sasa kwa bahati mbaya inatumia ufinyu wa kufikiri wa baadhi ya wafuasi wake ( kama wewe ) na ushabiki damu kama wa simba na yanga wa baadhi ya watu, na kuwadanganya na kuwapandikiza chuki kwa kutumia vijamatukio vidogovidogo na kutaka cheep popularity kwa watu.
Sasa mie siko hivyo, sina ushabilki na chama chochote, ila huwa nafikiria jambo na kuona kama lina maana au lah... Likiwa na ukweli na mantic katik kichwa changu nalichukua na kuliamini pasipo kujali nani kalifanya hilo, au nani analisema hilo.
Ndio maana namkubali sana ZZK katika wapinzani, huwa anajengaga hoja na sio matusi na kashfa kama uko uliko wewe......
Mie ni team Tanzania, sio team ccm wala ukawa.
Ila kwa kuwa ushakaririshwa kuwa yyte atakayekuwa na mawazo tofauti na wewe, yyte atakayekataa kuikashfu serikali, basi huyo ni ccm au ni msaliti, basi mie sikukatalii hayo ni mawazo yako ( tena uliyokaririshwa)
Pole sana.... Na nakupa ushindi wewe kuwa umeshinda ili yaishe.....