mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
hapo cha mdoli subiri uzae uone balaa lake na akkua ada shule ya ukweli ni milioni na huenda wewe ni mwalimu wa msingi hapo sasa
Mbele kwa Mbelee Tumechukua Tunaweka Waaaaaa kwanza huyu mdada anatafuta Kiki tu.hapa anataka aone responze ikoje Story yenyewe KatungaDaaah
Mbele kwa mbele
Haha Nina kazi nzuri hata baba hajawahi kuwa nayo mwalimu was primary labda shangazi yakohapo cha mdoli subiri uzae uone balaa lake na akkua ada shule ya ukweli ni milioni na huenda wewe ni mwalimu wa msingi hapo sasa
Pole sana dada ila nakuomba kama ukijifungua mtoto wa kiume usimchukie maana ni mwanao tena umpende na kumlea vizuri ili akikua awe na tabia njema na upendo wa kweli.Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa cm hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane. Nimehangaika kuwasilianà na watu waje wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachiwaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vzr tuu akaniambia labda anaogopa majukumu. Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vrz ba maisha yangu nalea peke yangu. Ila napata shida moja ya kisaikolojia nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike nineenda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi thou nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed. Nimehamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana niko desparate nimechukia mnoooo!!!!!
Talking Madness , kakojoe ukalale watu wana kimbia familia zao itakua huyu dada!? Kikubwa ni wanaume kuyajua majukumu yenu tuKwanini nyie wanawake hamfungi miguu yenu mpaka mkajua ni aina gani ya mwanaume unaye husiana. Yani condom huko utafikiri zina thamani ya zahabu. Hili umejisababishia mwenyewe hamna aliyekulazimisha ulale naye. Wanaume wote kwani haukujua wanataka ngono alafu wanakuacha. Yani hii ndiyo biologia ya mwanaume ni kutaka kusambaza mbegu yao tu. Nyie wasichana wakitanzania bado hamjaelewa kwamba mwanaume ukimpa anachotaka bila mkataba wa ndoa atakuacha. Hili liwe mfano kwa wenzako. Aidha mtumie kinga au mfunge miguu yenu.
Talking Madness , kakojoe ukalale watu wana kimbia familia zao itakua huyu dada!? Kikubwa ni wanaume kuyajua majukumu yenu tu
We unaongea nn wwe? inamaana Mahali tunayolipiwa wanawake huwa inawekwa ili ije itutunze !?? Kwa pesa gani hivyo vi Mil. 2 labda? Kwa taarifa yako mahali huisha hata kabla ya siku ya ndoa, na ikiwa mwanaume hajielewi hata akikuoa utaisoma namba wanawake wangapi wapo kwenye ndoa ila mahitaji yote ya familia yanawaangalia wao? Ndoa ni Mwamvuli tu utakufunika kichwa ila miguu utalowa! Usigukumu watu kuwa wanalaliana kimakosa ikiwa nafsi zimeridhiana roho zimetakana na sperm kumwagiana!Lakini nani anayeathirika zaidi kwenye ngono. Nani kati ya mwanamke na mwanaume ndiyo atalipa zaidi mambo yakienda pabaya. Ni mwanamke. mwanamme yeye atakimbi 9 out of 10 times hasa hasa kwenye uchumi wa tanzania. Sasa kama mwanamke mwenye hekima cha kufanya ni kujikinga kutokana na wanaume wasio waaminifu. Kama wewe unajua utaathirika zaidi na unaweza kuachwa hata kwenye ndoa basi mpaka ufike sehemu ya kumuachia jamaa anakutandika miimba bila condom unatakiwa uwe umempitisha kwenye mitihani mingi mpaka ujue ni mwaminifu na mojawapo ya hiyo mitihani ni ndoa na kutoa mali iwe kama dhamana ili akikuacha yeye ndiyo aliyefilisika na hiyo maali itumike kukutunza. Lakini kwasababu tumeachana na utamaduni watu mnaenda kulaliana na kujazana miimba bila kufikiria kesho.
We unaongea nn wwe? inamaana Mahali tunayolipiwa wanawake huwa inawekwa ili ije itutunze !?? Kwa pesa gani hivyo vi Mil. 2 labda? Kwa taarifa yako mahali huisha hata kabla ya siku ya ndoa, na ikiwa mwanaume hajielewi hata akikuoa utaisoma namba wanawake wangapi wapo kwenye ndoa ila mahitaji yote ya familia yanawaangalia wao? Ndoa ni Mwamvuli tu utakufunika kichwa ila miguu utalowa! Usigukumu watu kuwa wanalaliana kimakosa ikiwa nafsi zimeridhiana roho zimetakana na sperm kumwagiana!
Acha Dharau Kijana, kwani Mwl wa Msingi akiamua kusomesha mtoto huko kwenye Milion atashindwa? Basi kwa taarifa yako hiyo ni dhana tu ila wapo walimu wengi tu wanamaisha Standard kuliko hata wewe nhang'au Mjaa Lana uliyesahau MTU wa kwanza kukuokoa na mpaka Leo ukawa na jeuri ya kuwadharau walimu wa Msingihapo cha mdoli subiri uzae uone balaa lake na akkua ada shule ya ukweli ni milioni na huenda wewe ni mwalimu wa msingi hapo sasa
Mimi sijaachwa tengua kauli ya wingi hiyo na ujifunze kuwafariji walio katika hali ngumu badala ya kuwakosoa, MTU anapotaka ushauri maana yake ni kuwa anajua amekosea sehemu na kwa uono wake haoni njia ya kutokea hivyo kumpa maneno ya lawama ni kumlundikia matatizoKwenye methali umeniweza. Sawa hiyo mahali siyo suluisho na ndoa siyo suluisho nakubali. Suluisho ni nyie wanawake mlioachwa mwe mfano kwa mabinti wenu na wasichana wengine. Mwafundishe umuhimu wa kuwa makini wakati wa kuchagua mwanaume. Na kwa wavulana wenu mwapende na mwalee kwa hekima ili wawe wanathamini wanawake.
Usikate tamaa shogangu, pengne ipo siku huyo mwanaume atakutafuta na matumizi mengi ya mtoto. Mwanaume akizaa na mwanamke kutengana moja kwa moja ni ngumu mnooo. Vuta subira tu shogangu. Naktakia uzazi salama kpenz changu.Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa cm hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane. Nimehangaika kuwasilianà na watu waje wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachiwaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vzr tuu akaniambia labda anaogopa majukumu. Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vrz ba maisha yangu nalea peke yangu. Ila napata shida moja ya kisaikolojia nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike nineenda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi thou nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed. Nimehamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana niko desparate nimechukia mnoooo!!!!!
Tatizo lako wewe umemweka binadamu kuwa tegemeo lako, mtafute kwanza Mungu na mengine utapewa kwa ziada. Kuchukia wanamume hakutakusaidia na badala yake kutakuongezea mateso.Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa cm hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane. Nimehangaika kuwasilianà na watu waje wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachiwaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vzr tuu akaniambia labda anaogopa majukumu. Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vrz ba maisha yangu nalea peke yangu. Ila napata shida moja ya kisaikolojia nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike nineenda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi thou nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed. Nimehamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana niko desparate nimechukia mnoooo!!!!!