Recent content by Mzee wa Kale

  1. M

    GE2010 Chadema watumie rangi nyeupe pe kwenye mikutano yao!

    Mkuu kwetui sisi ni combat kwenda mbele hamtuelezi kitu, huu sio wakati wa kuremba
  2. M

    GE2010 CCM waanza rasmi?

    Wakuu ilikua ni janja ya kuzuia makombora ya Chadema yaliorushwa Jangwani, lakini haikuwa dawa moto uliwaka na ujumbe ulifika
  3. M

    Saed Kubenea na gazeti la MwanaHalisi

    Big up Kubenea kaza buti tuko pamoja
  4. M

    hiiiii

    Karibu jamvini, halwa, tende na kahwa ndio ada kwa mgeni, wakaribishwa neema, Vigezo na masharti kuzingatiwa
  5. M

    Ajali Kazini

    Wapo miongoni mwetu wanavaa vyupi za wake zao? sijawahi sikia hii naomba maelezo zaidi inakuwaje?
  6. M

    Wako wapi hawa siku hizi?

    Umekuwa Sheikh Yahya unapiga ramli?
  7. M

    Eti ni kwanini? Hebu tuambie...

    Kazi na dawa daaa
  8. M

    Nimepata msiba wa Mama yangu mzazi

    Pole sana, kazi ya Mungu haina makosa, Mungu akupe nguvu na aiweke roho ya marehemu peponi Amina
  9. M

    Mshtakiwa akimbia uchi mahakamani

    Mkuu pengine kabambikiwa kesi si unajua kama hauna chapaa huwezi kuwa huru wewe cheka tu
  10. M

    Tunda nimelitungua!

    Bila shaka ni tunda ambalo halina yoboyebo ndani yake,
  11. M

    Uzinduzi rasmi wa JF Aprili 2010

    Mungu awabariki tupo pamoja,
  12. M

    Was Gaddafi right to call for Nigeria to split?

    Nimekupata unahitaji taarifa sahihi tafuta njia nyengine badala ya kutegemea vyombo vya kimagharibi vikupe taarifa,
  13. M

    Was Gaddafi right to call for Nigeria to split?

    Nafikiri bado hujapata nafasi na muda ukasoma falsafa za huyu Mzee, au ukapata nafasi ya kutembelea katika nchi yake, katika bara la Afrika Libya iko juu sana katika huduma za kijamii, Unaweza ukakosoa na ukaonesha kwamba Gadafi hana maana lakini kumbe ukawa umekosa hoja kwa sababu tu huna...
Back
Top Bottom