Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 752
- 3
Naona kwa nyuma Ridhiwani anawakilisha!
Anajiandaa kurithi dynasty!
Wow nilikuwa sijamwona
Naona kwa nyuma Ridhiwani anawakilisha!
Anajiandaa kurithi dynasty!
Mie afya ya huyu mgombea ni mashaka matupuNaona kwa nyuma Ridhiwani anawakilisha!
Mie afya ya huyu mgombea ni mashaka matupu
Nilikuta wamebandika makaratasi yao kwenye ukuta wa nyumba yangu,nikauliza nani kafanya hii kazi,jibu lilikuwa ni vijana walikuwa na kiongozi wa serikali za mitaa,nikamwendea huyo kiongozi na nikamwambia kwakuwa ninamuheshimu naomba tuongozane akatoe uchafu wake,alitii na kutoa.Ujinga mtupu,mabango mpk kwenye Public toilets!..unajua kwenye nchi iliyojaa umasikini kama Tanzania, ni kufuru kwa chama tawala kufuja mapesa yote hayo kwa ajili ya kampeni
..CCM wamedai wana uhakika wa ushindi sasa haya matumizi makubwa-makubwa ya kampeni ni kwa faida ya nani?
Ndugu yangu huo wsi wasi wa watu tulio wengi! Ipo siku ataanguka kwenye midahalo ya kimataifa kama DAVOS kwenye world economic forum ama kwenye vikao vya UN. Aibu itarudi kwa watanzania
ni kwasababu hawakuandika KUANGUKA KWA KIONGOZI WA CHADEMA........!?
Mie afya ya huyu mgombea ni mashaka matupu
Gazeti zima liko covered na hilo tangazo... Ukinunua gazeti linakuwa ndani. Sasa, ndo hapo ninaposema kuwa wauzaji walio wengi ndo wameangusha mpango huu, baadhi wanauza kama ilivyotakiwa lakini wengi wameondoa na kuweka kando! HabariLeo, Mtanzania, Majira, Nipashe, Jambo Leo, etc
Mkuu, binafsi siwalaumu CCM... Hata chembe, wamepata opportunity na wameitumia. Sasa, wenye matatizo (njaa?) nadhani ni wenye magazeti kuruhusu gazeti kuwa covered na tangazo kwa tamaa ya fedha.
That's my concern
Mkuu,
Wauzaji magazeti wengi wamezitoa hizo covers, nadhani hili pia CCM wakiligundua wataona kuwa wametumia hela bure kwani wauzaji wamewaangusha.