Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
wala..
Mkuu I second this.
Ukweli ni kuwa rangi inleta mvuto sana katika kusanyiko la watu. I suggest CHADEMA to take thins into consideration; rangi nyekundu huwa ni nzuri san pia kwenye makusanyiko; ubaya wake, CCM wanaweza kubadili maana na kusema wanataka kumwaga damu hawa!!
I think pure white is ideal!!:becky:
Katika vitu vyote magwanda ndiyo yananihamasisha kuliko kitu kingine chochote!Pure white or the party's coulor but white to dominate and if possible dicard red altogether. CCM wameshaanza kuhubiri mambo ya vurugu kwenye nchi za jirani so any reddish in their colours could jeopardize their position especially in the rural areas where the level of reasoning is low.
I also agree that yale magwanda do not present CHADEMA very well, they do not look nice!
I agree.
Mwanakijiji umeongea ..................yaani picha ya Dk Slaa na magwanda unaweza kujiuliza kama kuna kamanda mpya wa polisi kachaguliwa huna habari!
Appearance ya mgombea ni muhimu sana kuwashawishi wapiga kura wasiokuwa na uelewa wa siasa ambao naamini wako wengi sana tanzania.
Ukitaka kumdhalilisha mtu waweza tumia lugha yoyote hata hii ya kusingizia mfanano na kamanda wa POLISI.
Vipi (ikiwa tutaishi katika uoga huohuo) kama wakisema wanavaa rangi ya sanda au mashuka ya hospitali?
Nakubaliana na hoja yako Mwanakijiji.Rangi moja inaleta uniformity na hamasa kwani mnapokuwa kwenye kikao au mkutano wowote ule mnakuwa mnapendeza sana na kuonekana wengi.Ni wzo zuri ila kwa sasa utekelezaji wake ni mgumu labda kwa siku za usoni.Hivi sasa watu tumekolea na kombati,mimi hivi sasa ninazo 7,za sketi,gauni na suruali na ninazipenda sana kwani zinakupa confidence ya aina yake.Nitajaribu kuwa mfano wa kutengeneza sare nyeupe pe kwa watu wa jimboni kwangu na kuona kama inanoga ila kwangu dongo jekundu hilo sijui kama watazipenda nahisi zitanidodea.
Kilombero For Change(K4C).
Duuh!! Kumbe na wewe unatinga hizo kombati sio? Si mchezo.....
Nakubaliana na hoja yako Mwanakijiji.Rangi moja inaleta uniformity na hamasa kwani mnapokuwa kwenye kikao au mkutano wowote ule mnakuwa mnapendeza sana na kuonekana wengi.Ni wzo zuri ila kwa sasa utekelezaji wake ni mgumu labda kwa siku za usoni.Hivi sasa watu tumekolea na kombati,mimi hivi sasa ninazo 7,za sketi,gauni na suruali na ninazipenda sana kwani zinakupa confidence ya aina yake.Nitajaribu kuwa mfano wa kutengeneza sare nyeupe pe kwa watu wa jimboni kwangu na kuona kama inanoga ila kwangu dongo jekundu hilo sijui kama watazipenda nahisi zitanidodea.
Kilombero For Change(K4C).
nimekupata sasa wale wananchi wetu kule Kilombero na wenyewe wanayo hayo makombati?
Mimi pia.Katika vitu vyote magwanda ndiyo yananihamasisha kuliko kitu kingine chochote!