Hayo ni mabadiliko ya kawaida tu kwenye system, usikute OS hana kinyongo na hiyo situation coz inavyoonyesha ilikuwa planned before na yy alishajiandaa na hayo mabadiliko
Kuna documentary inaelezea jinsi vifo vya PAC na Big vilivyotokea na consiparacy stories behind, Suge anahusika kwa namna moja kwa sababu inasemekana Tupac alikuwa na mpango wa kujitoa kwenye lebel ya Death Row kitu ambacho Suge alikuwa hakubaliani nacho.
Kinachotakiwa ni Serikali kuboresha shule zake ambazo ni kimbilio la watanzania wengi na iachane na private schools coz hata hiyo ada elekezi watakayoweka kuna watanzania wengi watashindwa kulipa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.