Avatar yako tu mi hoisisi tunao nyoa kwa vinyozi hatuna hiyo mambo. shauri yenu mnaoenda barber shop.
Hiyo avatar ni kibokoAvatar yako tu mi hoi
kwani hiyo avatar inamaanisha nnAvatar yako tu mi hoi
Hahahaha ni kweli kabisa mi mwenyewe huzipangua kabisa lazima wanune kabisa na wanakuona mshamba.. .Hawa wadada wa barber shops wanazingua sana!
Akikuuliza unafanya scrub ukamwambia hufanyi… Na hizo huduma zao nyingine (mimi sio muumini wa hizo huduma) ukazipangua zote , Sana sana ukataka uoshwe tuu. Utaoshwa kwa hasira na minuno juu!
Kwani lazima!! Wengine waume za watu hawapendi kushikwashikwa na watu tofauti na wake zao! Dawa yao naichemsha maana naona haka katabia kamezidi sasa!
Yaani imenitokea Zaidi ya mara moja mtu unaoshwa kwa hasira as if umenyoa bure!!!
Mtoto huogeshwa sio kuoshwa.Kwani mtoto nae maiti