Duh,kama kweli vile,mana mshindi anajulikana,chama kinajulikana,kwa nini pesa za eletion zisitumike kufanyia mambo mengine ya maendeleo?mana chaguzi za Afrika duh,aibu,full changa la macho,mwisho wake hukawii kusikia(wakishaibiana kura) basi tuunde serikali ya mseto.