Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
Hii mada nzuri sana, unapoanzisha chokochoko, wala usidhani kuwa unawakomoa wale unaowataka, lakini zitakurudia, kama kumnyooshea mtu kidole.

Manake kama unazungumzia Waislam ni wengi kaika CCM, itafikia wakati lazima tujue na katika kila sehemu ya Serikali kuu na Serikali za mitaa, Mahakama na Bunge uwiano ukoje. Tukifikia huko, basi tutakuwa kama Lebanon, tutagawana madaraka. Ndio tamaliza hizi chokochoko.

Mtoto Dekwa akiwa katika familia ya watoto wawili. Wakati Mzazi anapoleta zawadi, mfano machungwa, akamgawia mtoto dekwa moja na yule mwingine moja. Basi mtoto dekwa huanza kulilia chungwa la mwenzake, basi mzazi kwa kuwa naye kamdekeza, anachukua chungwa la mtoto wa pili na kulikata nusu na kumpa kipande dekwa, basi mtoto dekwa anakuwa na chungwa 1 na nusu, wakati mtoto mwingine ana nusu chungwa. Lakini bado mtoto dekwa atakuwa analilia hata lile chungwa nusu la mtoto wa pili. SASA HAPA NINALOLIONA NI LA MTOTO DEKWA.
 
Haya tuangali dini ya Wamanga ilifika lini ZANZIBAR:

Katika mwaka 1841 mpiganaji wa Kioman/Oman Sultan, Seyyid Said alivutiwa sana na visiwa hivyi vya Zanzibar kwa hiyo alihakikisha anahamishia makao makuu yake Zanzibar kama ni mji mkuu. Malezi yake katika maisha ya Jangwani yalimshajiisha yeye kwa nguvu zake zote kuviendeleza visiwa hivyi vyenye ustawi. Sultan Seyyid Said aliona Zanzibar kama kama ni Oasisi katika bahari.

Hebu tuangalie historia fupi ya UKRISTO ZANZIBAR, ni lini ulifika:

Ukiristo uliletwa kwa mara ya mwanzo Zanzibar na Wareno. Wareno wakielekea juu kutoka kusini baada ya kufanikiwa kuizunguka Rasi ya matumaini mema – Cape of Good Hope katika mwaka 1488 walifanya jaribio la nguvu la kudai bandari, njia za biashara na raslimali kiasi cha maili 2000 za mwambao wa Afrika.

Mara tu ya kuwasili Zanzibar Wareno katika mwaka 1499 walianzisha Ujumbe wa Kanisa la Kikatoliki na kituo cha biashara ndani ya mji wa Zanzibar. Wareno kwa miaka 200 iliyofuata walihodhi njia za baharini za meli za Afrika Mashariki na walijitahidi kuanzisha msururu wa makaazi katika eneo la mwambao. Mabaki ya makaazi ya Wareno bado yanaweza kuonekana karibu na Fukuchani Kaskazini Unguja na Kisiwani Pemba.

Ngome Kongwe ambayo ipo karibu na bandari ya mji wa Zanzibar ilijengwa juu ya eneo lilipokuwepo kanisa dogo la kikatoliki la mwanzo baada ya kutekwa na Jeshi la Oman. Jeshi hili la Oman inasemekana liliitwa na wenyeji wa Zanzibar na Pemba ili kuwasaidia kuwangóa Wareno waliokuwa makatili na madhalimu.

Tolerance%20Stamp.jpg


Do you remember this?

Picha hizi za Stempu, kutoka kushoto kwenda kulia,
Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph, Kanisa Kuu la Kristo,
Msikiti wa Malindi, Msikiti wa Hujjatul Islam,
Hekalu la Kihindi.

Watoto wa jana hawa.

Wapiga kelele wee bila hata ya kujuwa historia.

Asante Mukulu Max
 
Vijana kwa shule mnatisha ... mkuu maxshimba --- heshima mbele

Heshima Mkuu,

Tunajaribu kuwakumbusha historia hawa vijana wa Tarehe Tano February. Zaidi ya hapo, ni kuwaeleza kuwa tabia yao ya kufuata mkumbo si nzuri kwa maisha, afya yao, na jamii kwa ujumla.
 
Hii mada nzuri sana, unapoanzisha chokochoko, wala usidhani kuwa unawakomoa wale unaowataka, lakini zitakurudia, kama kumnyooshea mtu kidole.

Manake kama unazungumzia Waislam ni wengi kaika CCM, itafikia wakati lazima tujue na katika kila sehemu ya Serikali kuu na Serikali za mitaa, Mahakama na Bunge uwiano ukoje. Tukifikia huko, basi tutakuwa kama Lebanon, tutagawana madaraka. Ndio tamaliza hizi chokochoko.

Mtoto Dekwa akiwa katika familia ya watoto wawili. Wakati Mzazi anapoleta zawadi, mfano machungwa, akamgawia mtoto dekwa moja na yule mwingine moja. Basi mtoto dekwa huanza kulilia chungwa la mwenzake, basi mzazi kwa kuwa naye kamdekeza, anachukua chungwa la mtoto wa pili na kulikata nusu na kumpa kipande dekwa, basi mtoto dekwa anakuwa na chungwa 1 na nusu, wakati mtoto mwingine ana nusu chungwa. Lakini bado mtoto dekwa atakuwa analilia hata lile chungwa nusu la mtoto wa pili. SASA HAPA NINALOLIONA NI LA MTOTO DEKWA.

Madekwa si ndio ninyi! mnao lilia mahakma ya kadhi wakati teyari kuna mahaka kila kona. Rais wenu. Makamu wake wenu. Yule said aliye kuwa kati, kapewa U IGP. Zenji yenu. Sasa nini mnataka kutoka kwetu Wakristo? Au mnataka damu sasa muanze kunyonya?

Dini yenu mna sharia iliyo jaa shari kiasi cha kuchapana vibao hadharani na kumchapa mstaaf Rais Ali. Unao jinsi mlivyo wa hatari kwa jamii na maisha yenu? Sasa mnachapana vibao kama wehu.

Hiyo Lebanon ni kitu gani? Hivi wana Mabalozi hao? Mimi nilikutana na jamaa mmoja hapa, akasema yeye ni mlebanoni, kumuliza pasi yake ni ya wapi, ooh akadai kazaliwa kwa WAYAHUDI. Sasa kuna kitu kama lebanoni? Au unamaanisha ile ya pale Dar?

Bado ninashangaa kuona Zenji wanaendeleza udini wa hali ya juu huku wakisaidiwa na Chama Cha Muham-mad.
 
Madekwa si ndio ninyi! mnao lilia mahakma ya kadhi wakati teyari kuna mahaka kila kona. Rais wenu. Makamu wake wenu. Yule said aliye kuwa kati, kapewa U IGP. Zenji yenu. Sasa nini mnataka kutoka kwetu Wakristo? Au mnataka damu sasa muanze kunyonya?

Dini yenu mna sharia iliyo jaa shari kiasi cha kuchapana vibao hadharani na kumchapa mstaaf Rais Ali. Unao jinsi mlivyo wa hatari kwa jamii na maisha yenu? Sasa mnachapana vibao kama wehu.

Hiyo Lebanon ni kitu gani? Hivi wana Mabalozi hao? Mimi nilikutana na jamaa mmoja hapa, akasema yeye ni mlebanoni, kumuliza pasi yake ni ya wapi, ooh akadai kazaliwa kwa WAYAHUDI. Sasa kuna kitu kama lebanoni? Au unamaanisha ile ya pale Dar?

Bado ninashangaa kuona Zenji wanaendeleza udini wa hali ya juu huku wakisaidiwa na Chama Cha Muham-mad.

Tatizo lako unakulupuka, hapa tunaongelea suala mnalosema Waislam ni wengi CCM. Ndio nikasema ni mjadala mzuri, manake unawaamsha na wengine kuhoji Serikalini, Serikali za Mitaa, Bungeni na Mahakamani kuna uwiano gani.

Unakulupuka tena kama ndani ya hii "thread" ulivyoandika mwanzo, Unamtaja Rais, Makamu wa Rais na IGP, kuonesha ni Waislam. Kama wewe ni mchambuzi mzuri na hauegemei upande wowote ONYESHA UWIANO KWA YAFUATAYO:-

Serikali kuu: Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya

Bunge: Onesha Spika, Naibu Spika, Wenyeviti wanaokaimu wakati Spika na Naibu Spika hawapo, na Wabunge.

Mahakama: Onesha Jaji Mkuu, Jaji Kiongozi, Wasajili wa Mahakama, na Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa, bila kusahau vitengo vyake.

Sio unataja Rasi, Makamu wa Rais, Mkuu wa Polisi (IGP) ni Waislam bila kuonesha vyeo vyote katika mihimili mitatu. Ndio huko kwenye mihimil tunaweza kuzungumzia Polisi, Jeshi la Wananchi na Magereza.

Tatizo lako lingine ni kuruka ruka, ya mahakama ya kadhi yametoka wapi. Pia hujui kuwa Lebanon ni nchi, kazi kweli kweli.
 
Uislam ni ugonjwa mbaya sana.

Hivi mtu unaitaji kujuwa Applied Maths ili ufahamu kuwa takribani wakuu wote wa Nchi ni Wafuasi wa Allah kiumbe?

Hivi hao wakuu wa Bunge lenu si wa Chama Cha Muham-mad? Amiri Jeshi Mkuu wenu si ndio yule Jakaya? Na yule Judge Ramadhani si mfuasi wa dini ya Wamanga? Kijana wa Polisi kati zama zile si Mwema?

Tanzania itabidi muanze kuchaguwa wakuu wa mikoa na wilaya na kuacha utamaduni wenu wa kuteuliwa kila kitu kama vile wananchi hawajuwa wanacho taka na/au ni mazombi.

Hivi, kwanini wananchi wateuliwe ki/viongozi wao wa mkoa? Hivi wananchi hawana uwezo wa kuchaguwa nani awaongoze mpaka mtu fulani awateulie?
 
Uislam ni ugonjwa mbaya sana.

Hivi mtu unaitaji kujuwa Applied Maths ili ufahamu kuwa takribani wakuu wote wa Nchi ni Wafuasi wa Allah kiumbe?

Hivi hao wakuu wa Bunge lenu si wa Chama Cha Muham-mad? Amiri Jeshi Mkuu wenu si ndio yule Jakaya? Na yule Judge Ramadhani si mfuasi wa dini ya Wamanga? Kijana wa Polisi kati zama zile si Mwema?

Tanzania itabidi muanze kuchaguwa wakuu wa mikoa na wilaya na kuacha utamaduni wenu wa kuteuliwa kila kitu kama vile wananchi hawajuwa wanacho taka na/au ni mazombi.

Hivi, kwanini wananchi wateuliwe ki/viongozi wao wa mkoa? Hivi wananchi hawana uwezo wa kuchaguwa nani awaongoze mpaka mtu fulani awateulie?

Tatizo lako unabishana tu bila kujua hata unaloandika, kwanini usifanye hata utafiti mdogo. Jaji Mkuu Agustino Ramadhani sio Mwislam. Ni Mkristo, nenda Jumapili uone Kanisani anavyokikanyaga Kinanda. Hivyo inaonesha uelewa wako tangu mwanzo ulipokuwa haujui hata Lebanoni ni nchi. Sasa unakuja kusema Jaji Mkuu kwa kuwa ana jina Ramadhani basi ni Muislam, kazi iko.

Narudia tena, tukitaka kujua UWIANO kati ya Waislam na Wakristo, usirukie vyeo ambavyo wanavyo Waislam tu bila kuonesha mchanganuo wa vyeo vyote, Onesha kwa hawa wafuatao ili tujue nalo kama unavyoonesha kwa CCM:-

Serikali kuu: Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya. Hapa pia onesha Jeshi la Polisi, Jeshi la Wananchi, Jeshi la Magereza.

Bunge: Onesha Spika, Naibu Spika, Wenyeviti wanaokaimu wakati Spika na Naibu Spika hawapo, na Wabunge.

Mahakama: Onesha Jaji Mkuu, Jaji Kiongozi, Wasajili wa Mahakama, na Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa, bila kusahau vitengo vyake.
 
Tatizo lako unabishana tu bila kujua hata unaloandika, kwanini usifanye hata utafiti mdogo. Jaji Mkuu Agustino Ramadhani sio Mwislam. Ni Mkristo, nenda Jumapili uone Kanisani anavyokikanyaga Kinanda. Hivyo inaonesha uelewa wako tangu mwanzo ulipokuwa haujui hata Lebanoni ni nchi. Sasa unakuja kusema Jaji Mkuu kwa kuwa ana jina Ramadhani basi ni Muislam, kazi iko.

Narudia tena, tukitaka kujua UWIANO kati ya Waislam na Wakristo, usirukie vyeo ambavyo wanavyo Waislam tu bila kuonesha mchanganuo wa vyeo vyote, Onesha kwa hawa wafuatao ili tujue nalo kama unavyoonesha kwa CCM:-

Serikali kuu: Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya. Hapa pia onesha Jeshi la Polisi, Jeshi la Wananchi, Jeshi la Magereza.

Bunge: Onesha Spika, Naibu Spika, Wenyeviti wanaokaimu wakati Spika na Naibu Spika hawapo, na Wabunge.

Mahakama: Onesha Jaji Mkuu, Jaji Kiongozi, Wasajili wa Mahakama, na Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa, bila kusahau vitengo vyake.

Yale yale ya Chama Cha Muham-mad.

Mkuu wa Nchi yako ni wa dini gani? Makamu wake ni wa dini gani?

Mkuu wa nchi ya kisiwa Zenji ni wa dini gani? Wachini yake ni wa dini gani?

Naona wewe inabidi upelekwe ki mad-rassa.
 
Yale yale ya Chama Cha Muham-mad.

Mkuu wa Nchi yako ni wa dini gani? Makamu wake ni wa dini gani?

Mkuu wa nchi ya kisiwa Zenji ni wa dini gani? Wachini yake ni wa dini gani?

Naona wewe inabidi upelekwe ki mad-rassa.

Madrasa ndiko nilikosoma, na nikitaka kuongeza ujuzi naenda tena. Sasa unataka kunipeleka tena wapi. Tatizo lako unachagua vyeo vile walivyo tu Waislam, rejea post zangu mbili za juu ujibu maswali. Kama huna majibu kaa kando.

Kama watu wanaangalia vyeo viwili tu Rais na Makamu wa Rais kuonesha Serikali yote ni Waislam, UMEFILISIKA ki fikra na una matatizo makubwa mno.
 
Madrasa ndiko nilikosoma, na nikitaka kuongeza ujuzi naenda tena. Sasa unataka kunipeleka tena wapi. Tatizo lako unachagua vyeo vile walivyo tu Waislam, rejea post zangu mbili za juu ujibu maswali. Kama huna majibu kaa kando.

Kama watu wanaangalia vyeo viwili tu Rais na Makamu wa Rais kuonesha Serikali yote ni Waislam, UMEFILISIKA ki fikra na una matatizo makubwa mno.

halafu watu wa madrassa wanapenda sana kuamrisha wenzao .. ona huyu naye sasa
 
Tatizo lako unabishana tu bila kujua hata unaloandika, kwanini usifanye hata utafiti mdogo. Jaji Mkuu Agustino Ramadhani sio Mwislam. Ni Mkristo, nenda Jumapili uone Kanisani anavyokikanyaga Kinanda. Hivyo inaonesha uelewa wako tangu mwanzo ulipokuwa haujui hata Lebanoni ni nchi. Sasa unakuja kusema Jaji Mkuu kwa kuwa ana jina Ramadhani basi ni Muislam, kazi iko.

Narudia tena, tukitaka kujua UWIANO kati ya Waislam na Wakristo, usirukie vyeo ambavyo wanavyo Waislam tu bila kuonesha mchanganuo wa vyeo vyote, Onesha kwa hawa wafuatao ili tujue nalo kama unavyoonesha kwa CCM:-

Serikali kuu: Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya. Hapa pia onesha Jeshi la Polisi, Jeshi la Wananchi, Jeshi la Magereza.

Bunge: Onesha Spika, Naibu Spika, Wenyeviti wanaokaimu wakati Spika na Naibu Spika hawapo, na Wabunge.

Mahakama: Onesha Jaji Mkuu, Jaji Kiongozi, Wasajili wa Mahakama, na Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa, bila kusahau vitengo vyake.

Ndg yangu mfumwa,hao unaobishananao utapoteza nguvu zako bure,mana ukweli wanaujua lakini wameamua kujifanya hawajui kitu,au umesahau wale walio ambiwa katika maandiko kua WANAMACHO LKN HAWAONI,WANAMASIKIO LKN HAWASIKII,WANA MIOYO LAKINI......,NI KM WANYAMA BALI INAFIKA MUDA HATA WANYAMA WANA NAFUU.
Hao watakuumiza kichwa wametumwa na taasisi zao kuchokoza Mada kama hizi waone REACTION ikoje.

Ila nawaonea huruma itakula kwao,pakichafuka sijui watakula wapi Nguruwe zao na kupenda kwao Maisha marefu kama...................
 
Ndg yangu mfumwa,hao unaobishananao utapoteza nguvu zako bure,mana ukweli wanaujua lakini wameamua kujifanya hawajui kitu,au umesahau wale walio ambiwa katika maandiko kua WANAMACHO LKN HAWAONI,WANAMASIKIO LKN HAWASIKII,WANA MIOYO LAKINI......,NI KM WANYAMA BALI INAFIKA MUDA HATA WANYAMA WANA NAFUU.
Hao watakuumiza kichwa wametumwa na taasisi zao kuchokoza Mada kama hizi waone REACTION ikoje.

Ila nawaonea huruma itakula kwao,pakichafuka sijui watakula wapi Nguruwe zao na kupenda kwao Maisha marefu kama...................

Waambieeeee!
 
.....
Ila nawaonea huruma itakula kwao,pakichafuka sijui watakula wapi Nguruwe zao na kupenda kwao Maisha marefu kama...................

Acha kujidanganya .. nguruwe tutakuwa kwa sana tu na waislam hakuna chochote mtakachofanya. Mkileta upuuzi wanaitwa wale murraa wa kazi kutoka ukonga wanawaonesha kazi.

eti pakichafuka .. madrassa na hivi wengi wao lishe mbovu wamekondeana kama wasomali watafanya nini mbele ya vijana wa kazi na chesi la ulinsi toka musoma?
 
Ni hatari kama wanachi wanapoanza kufeel kuwa nchi hailko balance katika uongozi. Kuwa tabaka moja linapendelewa zaidi kuliko lingine-ni hatari kubwa. Lakini hatari kubwa zaidi inakuja pale hizo data kama ni za kweli basi hapo shida inakuwa ni kubwa zaidi.

Huu uwiano kama kweli upo (kwani sina uhakika) basi ni hatari sana hasa ukizingatia kuwa hili tabaka lingine lina watu enye uwezo wa kushika nyadhifa hizo sawa na wale-na tena inawezekana kuwa wako wengi kuliko wale waliopewa upendeleo huo(sio kiidadi ya waumini bali kiidadi wa wanataaluma na wale walioenda shule).

Lakini CCM wengi hawajaenda shule ni wazee wanaoendesha mambo kwa mazoea je hii inaonyesha alama yoyote? Kuwa hawa watu shule hawajaenda na ndo maana wanafit huko kusikokuwa na shule?
 
lakini ccm wengi hawajaenda shule ni wazee wanaoendesha mambo kwa mazoea je hii inaonyesha alama yoyote? Kuwa hawa watu shule hawajaenda na ndo maana wanafit huko kusikokuwa na shule?

ccm,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom