Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Kwa nini tufanye uchaguzi mkuu huku hatuna fedha za kujifanyia uchaguzi?
Kwa nini tufanye uchaguzi ambao utajaa rushwa na takrima na umeshaongeza vitendo vya hujuma na ufisadi?
Kwa nini tuwe na uchaguzi huku tunajua wazi matokeo yatakuwaje kabla hata ya kwenda kupiga kura?
Kwa nini tusiongeze muda tuwape Wabunge na Rais muda wa miaka 10 kabla ya uchaguzi mkuu, ili kuondokana na upuuzi tulioujengea mapambo kwa jina la Demokrasia?
Kwa nini tufanye uchaguzi ambao utajaa rushwa na takrima na umeshaongeza vitendo vya hujuma na ufisadi?
Kwa nini tuwe na uchaguzi huku tunajua wazi matokeo yatakuwaje kabla hata ya kwenda kupiga kura?
Kwa nini tusiongeze muda tuwape Wabunge na Rais muda wa miaka 10 kabla ya uchaguzi mkuu, ili kuondokana na upuuzi tulioujengea mapambo kwa jina la Demokrasia?