Recent content by mwasyeba alex

  1. M

    Deni langu la bodi ya mikopo ya elimu ya juu linanipatia shida sana, nataka kuliuza NMB

    ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu username yako inaendana kabisa na ulicho kiandika
  2. M

    Shikamoo Jiwe kweli tumekubali matokeo

    8. Lete supu tu bila finyango kwani shi'ngapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha jamaa angu flani kwenye hii kauli
  3. M

    Kwa mara ya kwanza, 2018 Tanzania inapata madaktari bingwa wanawake wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya fahamu

    Hongera kwao kazi nzuri wameifanya sasa ni wakati wa kufanya kazi za watanzania nawatakia majukumu mema wawe wenye kuwajibika kwaajiri ya watu Go doctors............. Go ladies
  4. M

    Utumishi wa umma mtaacha lini kudhalilisha watoto wa masikini?

    Kutoka katika andiko la mwandishi tujielize yafuatayo 1. Kweli tunataka watu sahihi katika nafasi sahii nadhani jibu litakua ni ndio kama ni hivyo acha tu watu waitwe wengi wachague watu walio bora na wanaofaa ktk nafasi husika Mind u advantage ya kuwa na mass unemployment inamwezesha...
  5. M

    Nina tatizo la kuwazia wanawake tu

    Mkuu inawezekana Kuna vitu unapenda sana kuongelea e.g maswala ya ngono , kuna picha unazopenda sana kufatilia e.g picha za ngono, kuna video unapenda sana kufatilia e.g zenye mwelekeo WA kingono ngono Kwa kuwa karibu na vitu hivyo ni lazima utawaza ngono kwa mda mwingi Any way for every...
  6. M

    Gonga Like kama JF imekusaidia ktk maisha yako

    Naona jf kama best social network ya kujua watu wengine wanaona nn katika vitu ambavyo na mimi ninavitazama kwa mtazamo flani Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Genius Only: Ni Pipa Gani Litaanza Kujaa?

    11 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

    Shusha nondo na huko kwa kina Barnaba Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Shilawadu hapa mlipofikia ni too much

    Ni kusema ukweli ILA tatizo ni kwamba hujaruhusiwa!!!!!!! Sent from my Startimes Nova N5 using JamiiForums mobile app
  10. M

    Wana Kigoma: Njooni mtusaidie kwanini Kigoma uwe mkoa masikini kuliko yote Tanzania?

    Asilimia zaidi ya tisini ya miji yote huendelezwa na wageni sasa kama wageni hamna unadhani mji utaendeleaje Chukua mji ambao ww ndo asili yako afu Fanya tasmin utaona sehemu zote wenyeji ni wachawi na kurogana tu mtu akikaa sehemu moja tu akili aikui na kutanuka ipasavyo hapo huwezi kuziona...
  11. M

    Shilingi ya Tanzania kuipiku dollar ya Marekani

    Kubadili currency ina wezekana ila lazima kuwe na strong argument Mfano hyper inflation But kuhusu kuamua kuwa thamani yake iweje inategemea vitu kadhaa me ntazungumzia viwili 1. Nature ya uchumi Wa dunia kwa sasa uchumi wa dunia uko under control of capitalism ( resources go those who are...
  12. M

    Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

    Muulize tuu coz kwa baadhi ya shule kuna utaratibu wa kupima mimba kwa wanafunzi wa kike Ila cjui kama huwa wanaondoka na vitu kama hivyo My stand : usi panic take action mweke chini ajue msimamo wa mzee Sent from my Startimes Nova N5 using JamiiForums mobile app
  13. M

    Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

    Kwa nyumba mpya kawaida hizo mambo kutokea Sent from my Startimes Nova N5 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom