chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,205
- 304
Source tafadhaliThe Book of Enoch is any of several pseudepigraphal (falsely attributed works, texts whose claimed authorship is unfounded) works that attribute themselves to Enoch, the great-grandfather of Noah; that is, Enoch son of Jared (Genesis 5:18). Enoch is also one of the two people in the Bible taken up to heaven without dying (the other being Elijah), as the Bible says "And Enoch walked with God, and he was not; for God took him." (Genesis 5:24; see also Hebrews 11:5). Most commonly, the phrase "Book of Enoch" refers to 1 Enoch, which is wholly extant only in the Ethiopic language.
The biblical book of Jude quotes from the Book of Enoch in verses 14-15, “Enoch, the seventh from Adam, prophesied about these men: ‘See, the Lord is coming with thousands upon thousands of his holy ones to judge everyone, and to convict all the ungodly of all the ungodly acts they have done in the ungodly way, and of all the harsh words ungodly sinners have spoken against him.’” But this does not mean the Book of Enoch is inspired by God and should be in the Bible.
Jude’s quote is not the only quote in the Bible from a non-biblical source. The Apostle Paul quotes Epimenides in Titus 1:12 but that does not mean we should give any additional authority to Epimenides’ writings. The same is true with Jude, verses 14-15. Jude quoting from the book of Enoch does not indicate the entire Book of Enoch is inspired, or even true. All it means is that particular verse is true. It is interesting to note that no scholars believe the Book of Enoch to have truly been written by the Enoch in the Bible. Enoch was seven generations from Adam, prior to the Flood (Genesis 5:1-24). Evidently, though, this was genuinely something that Enoch prophesied – or the Bible would not attribute it to him, “Enoch, the seventh from Adam, prophesied about these men…” (Jude 14). This saying of Enoch was evidently handed down by tradition, and eventually recorded in the Book of Enoch.
We should treat the Book of Enoch (and the other books like it) in the same manner we do the other Apocryphal writings. Some of what the Apocrypha says is true and correct, but at the same time, much of it is false and historically inaccurate. If you read these books, you have to treat them as interesting but fallible historical documents, not as the inspired, authoritative Word of God.
Ambacho author ni nani Gideon ama? Alafu hicho kitabu kimoja kiko wapiBiblia halisi amabayo haijachakachuliwa inajumla ya vitabu 72/73
Inapatikana wapi na hitaji kimojaMimi binafsi... Biblia yangu ina vitabu vya deuterokanoni 7.... Tobiti, ester, wamakabayo, judith, Joshua bin sira, baruk.... Ni biblia ya muunganiko wa makanisa ya kiprotenstant na wakatoliki... Nkifika home ntaipiga picha kwa ushahidi zaidi
Sura ipi mkuu tupe sourceWachambuzi wa Qur'an wanasema Enoch ndiye nabii Idriss, Ipo aya inayosema kuwa Alinyanyuliwa juu sana katika wanadamu
Shusha nondo na huko kwa kina BarnabaKumbe unajua unalolifanya mkuu,Apocryphal books vipo vingi,sana katika agano la kale(Old Testament), na vingi vimeongezeka mara tu baada ya uasi wa Wayahudi dhidi ya dola la Kiyunani(Greece empire) 331 BK - 168 BK,Kipindi hiki ndipo vitabu vingi vya kiharakati (Jews activist books)viliandikwa na lengo likiwa kueneza propaganda na kuwatia moyo(Unit), wayahudi kupambana na utawala wa Kiyunani,vingi vimeandikiwa Palestina na Misri hasa mji wa Alexandria (uliopata jina kutokana na jina la mtalawa wa kigriki,Alexander The Greet(333 BK -),miongon wa vitabu ni Maongezeko ya kitabu cha Ester(Ester's Additional chapters) na Daniel (BELI NA JOKA),TOBITHI,HEKIMA YA SOLOMON, WAMAKABAYO KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI,NA HEKIMA YA SILA,vitabu hivi havihusishwi kama maandiko matakatifu kwa sababu zifuatazo;
1:Ni vitabu vinavyohamasisha watu mambo ya kisiasa si ya Kidini(Political reformations writings)Mfano,Vitabu vya makabayo
2:Hayina mapatano vitabu vingine vya Kiteolojia kama Taurat na Zaburi(Zab'ur),na Manabii(Nab-eem)(Non correspondent doctrines)Mfano,Beli na joka
3:Havina uhalisia(Fictitious writings),Mfano Tobithi,sura ya ini la samaki kutibu majini.
4;Kutopatana/kutolingana kwa matukio na vipindi vya kihistoria(Chronicles inaccuracy),
5:Ubinafsi wa uhusika,kuelezea matendo mema tu ya muhusika(Individuality) ambaye ni mwandish mwenyew
6:Kutojulikana kwa waandishi
7:Kuingiza mambo ya tamaduni na uganga (Witchcraft norms & traditions)yasiyopatana na neno la Mungu.
8:Muda wa uandishi,Biblia imeandikwa katika mpangilio unaofuatana(Chronological order), kati ya matukio na muda,Theologically Kitabu cha Mwisho kabisa kilichovuviw ni Malaki(Malach) cheny sura(chapters) 4 kinachonekana kimeandikwa 445 BC,na kutoka hapo kikatoa ahad ya kuja KRISTO NA AGANO JIPYA,rejea Malak 4:4-6.Baada ya hapo Mung akakoma kunena had alipotuma malaika kwa Zacharia na Maryamu,hivyo katika kipindi hiki cha ukimya(NON PROPHETIC TIME)ndipo vilipo ibuka hivyo vingine kama nilivyotangulia eleza.
NB,NITAKUW TAYAR KUJIBU PIA KUHUSIANA NA VITABU VINGINE VYA INJIL MFANO INJIL YA THOMAS NA BARNABAS.
Natanguliza shukrani, be blessed as you will find this comment useful!!.
Dukeson!!.
Gideon ndo nani..??Ambacho author ni nani Gideon ama? Alafu hicho kitabu kimoja kiko wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Salam
Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester
Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.
Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.
Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?
Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?
Mkuu inasikitisha sana tena sana pale unapojua kuwa kuna mambo hayaendi sawa halafu ukiwaambia watu wanapuuza tu....mkuu Eiyer kwenye post yako [HASHTAG]#108[/HASHTAG] umeongea kwa uchungu sana kaka,ni jinsi gani unavyojali angalao kwa uchache wengi wetu tujue kile kinachoendele hapa duniani.lkn tumejaliwa kupuuza yale ya msingi, naomba nikupe moyo brodher wengi tunakuelewa sana.
Ninawaza kuandika uzi kuhusu mambo kadhaa ya "sirini" kisha utapata mwanga mkuu....Habari za Siri kama zipi Mkuu
Itabidi nitafute hiki kitabu nisome na kuelewa zaidiNi hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.
Kwahiyo utakuwa umeelewa au umekariri?Yetu niyale ambayo ametufunulia ambayo hatujafunuliwa sio yetu wala tusihamgaike nayo maana hakuna awezae kuongeza limo cha urefu ulio nao. WEWE MKUBALI YESU KUWA MWOKOZI WA MAISHA YAKO TU.
Mkuu haya mambo ya ajabu sana. Ukisoma kitabu cha Yashari utagundua kuwa kitabu cha mwanzo ni kama summary ya kitabu cha Yashari. Nina soft copy yake. Ikiwa unahitaji njoo inbox nipe email yako nitakutumia.mkuu Utingo kun kitu nimekinot kwenye coment yako kupitia mistar ulioitoa kumbe kuna pia kitabu cha yashari? sikuwahi kusoma wala kudhania hili, na hata nikiuliza kwa kiongozi wangu wa kiroho nadhani hatanipa jibu, unaweza kutupa mwanga kidogo mkuu?
Watu wengi hawajui kuwa Mungu anao mpango wake Maalumu au mpango mkakati kumhusu mwanadamu ambaye katika viumbe vyote vilivyo umbwa na Mungu basi mwanadamu ndiye aliyependwa na kuheshimika sana na Mungu. Najua mawakala wa shetani watasema Mungu anakuwa je na upendeleo?
Katika huu mpango mkakati wa Mungu kwa mwanadamu ndio utakuta haya yanajitokeza.
Ismaili mtoto wa kwanza wa Ibrahim kwa kuzaa na kijakazi Hajiri lakini si wa kwanza kwa maana ya Mpango wa Mungu kwa mwanadamu. Ni wa kwanza kwa mpango wa Ibrahim na Mkewe Sarah. Mtoto wa kwanza kwa mpango wa Mungu, Ibrahim na Sarah mkewe akawa ni Isihaka aliye Mzaa Yakobo/Yakubu ambaye alitwa Israel hapo baadaye.
Taifa la Israel yaani uzao wa Yakobo ni taifa teule la Mungu katika mpango wake wa kufanya kazi ya ukuhani kwa wanadamu. Ndipo sasa hata kuhani mkuu Yesu Kristo akaja duniani kupitia taifa hili na kufanya kazi ya ukuhani ambayo ndio imeleta ukombozi kwa mwanadamu.
Na washawasha!
Itakua vema kwetu asanteNinawaza kuandika uzi kuhusu mambo kadhaa ya "sirini" kisha utapata mwanga mkuu....
Nakuja pm Mkuu unitumie hicho kitabuMkuu haya mambo ya ajabu sana. Ukisoma kitabu cha Yashari utagundua kuwa kitabu cha mwanzo ni kama summary ya kitabu cha Yashari. Nina soft copy yake. Ikiwa unahitaji njoo inbox nipe email yako nitakutumia.
tulio nyuma yako ni weng kaka usivunjke moyoMkuu inasikitisha sana tena sana pale unapojua kuwa kuna mambo hayaendi sawa halafu ukiwaambia watu wanapuuza tu
Unaishia kuumia tu maana huna namna