Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Ndio nipo poa kabisa.. Tangu nimalize advance sikuona tena hayo mandoto sa sijui walikua wanafunzi wenzangu sijui kina nani sijui hata make nilisomea bweni na ilikua mchanganyiko wa wanafunzi wengi wengi toka sehemu mbali mbali .

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
Hongera bana.
Labda pengine ilikuwa ni hapo shuleni au wanafunzi wenzako.yote yawezekana
 
Wapi Mwenye axis yao, wanafanya shughuli zao za kila siku bila kuingilia au kujihusisha na shughuli za binaadam kama vile binaadam wazuri, kufanya shughuli zao za kila simu bila kuingilia majinni.
Ahaaaaaa kumbeee.haya bhana
 
Okoka, then anza tabia ya kufunga na kuomba. Achana na maji ya baraka ww angusha maombi ya nguvu. Tena uwe unaenda makanisa ya kiroho hasa ya kipentekoste

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu nashukuru kwa ushaur ndg yangu
 
Hongera bana.
Labda pengine ilikuwa ni hapo shuleni au wanafunzi wenzako.yote yawezekana
Kipindi naripot kazini sasa sekeseke jingineee

Usiku Juu ya bati nilikua nasikia kama watu wanacheza ngoma,, siku nyingine ngine kama wanatembea juu ya bati mara nisikie kama mandege makubwa yanatua juu ya bati.. Na kuna siku moja niliona kama nimelala kitandani pembeni ya kitanda naona kama mtu mrefuuu kasimama kavaa linguo jeusi yani mi nimelala ye kasimama pembeni yangu.

Sa sijaelewa sijui ni uwoga wangu labda sijui ni kweli...
Nami Nina maji ya baraka pia

But badae sikuona tena hayo mauzauza
Sa sijui Wachawi walikua wananikaribisha duhhhhhhhhhhh


Cc Smart911

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi naripot kazini sasa sekeseke jingineee

Usiku Juu ya bati nilikua nasikia kama watu wanacheza ngoma,, siku nyingine ngine kama wanatembea juu ya bati mara nisikie kama mandege makubwa yanatua juu ya bati.. Na kuna siku moja niliona kama nimelala kitandani pembeni ya kitanda naona kama mtu mrefuuu kasimama kavaa linguo jeusi yani mi nimelala ye kasimama pembeni yangu.

Sa sijaelewa sijui ni uwoga wangu labda sijui ni kweli...
Nami Nina maji ya baraka pia

But badae sikuona tena hayo mauzauza
Sa sijui Wachawi walikua wananikaribisha duhhhhhhhhhhh

Cc Smart911

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
Teh!!!ulikuwa unakaribishwa makazi mapya.aiseeh.wanadamu kazi tunayo.huu ulimwengu una vitu vingi mno
 
Teh!!!ulikuwa unakaribishwa makazi mapya.aiseeh.wanadamu kazi tunayo.huu ulimwengu una vitu vingi mno
Sasa hayo
Makazi nilipokua kipindi hiko nasikia ilikua balaa kwa uchawi ni nuksiiiii......
Yani nahisi walikua wananikaribisha kunitest mtoto wa watu

Cc Smart911


Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu inaitwa maji ya baraka .......



Watch out
Hizo mambo uhuni uhuni mwingi!!!

Sent from my Startimes Nova N5 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana navuta ndumu kila siku. Wachawi hawana mamlaka juu yangu.
 
Kipindi naripot kazini sasa sekeseke jingineee

Usiku Juu ya bati nilikua nasikia kama watu wanacheza ngoma,, siku nyingine ngine kama wanatembea juu ya bati mara nisikie kama mandege makubwa yanatua juu ya bati.. Na kuna siku moja niliona kama nimelala kitandani pembeni ya kitanda naona kama mtu mrefuuu kasimama kavaa linguo jeusi yani mi nimelala ye kasimama pembeni yangu.

Sa sijaelewa sijui ni uwoga wangu labda sijui ni kweli...
Nami Nina maji ya baraka pia

But badae sikuona tena hayo mauzauza
Sa sijui Wachawi walikua wananikaribisha duhhhhhhhhhhh


Cc Smart911

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
Kwa nyumba mpya kawaida hizo mambo kutokea

Sent from my Startimes Nova N5 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hayo
Makazi nilipokua kipindi hiko nasikia ilikua balaa kwa uchawi ni nuksiiiii......
Yani nahisi walikua wananikaribisha kunitest mtoto wa watu

Cc Smart911


Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
Aiseeh...hii kitu kama haijawahi kumtokea mtu anaeza akajua mtu anaongea uongo au anajifanyisha lkni ukwel hivi vitu vipo sana asikwambie mtu
 
Hizo ni hallucination tu...

Unayoyawaza mchana ndo utayaota usiku,

uchawi ni imani yako tu,
kama unafikia kuamini maji yana nguvu ya kukulinda kuliko Mungu,tayari wewe ni mshirkini
 
Sali, funga na kuomba.
Jikabidhi kwa Yesu totally, hii hali itapotea kabisa. Jina la Yesu ndiyo kiboko ya hayo mambo yanayokusumbua.
Hiyo sura ya rafiki si yeye, ni mbinu za wachawi kujificha.
Achana na Maji ya baraka, hiyo ni Tiba mbadala, ukitumia hayo Maji ndo unawaongezea nguvu wachawi.
Samahani kwa niliyemkwaza.

Sent from my Infinix HOT 3 using JamiiForums mobile app
Upo sawa kabisa chief
 
Una



Unasubiria lipi tena? Ninakuwa hapa pale ninapokuwa na muda vinginevyo majukumu mengine yanachukua nafasi.Hiyo literature yako yako ya Biology ifanyie "maboresho" kidogo.

Do Children Inherit Their Parents' Personalities?

https://www.google.co.tz/amp/s/www.psychologytoday.com/blog/the-human-beast/201509/what-behaviors-do-we-inherit-genes?amp

Hahahaha.....eti Literature ya Biology....sidhani kama hata umeelewa yaliyomo katika hiyo Link ila nakupongeza kwa kutafuta facts....

na nikusaidie hili la mwisho evolutionary psychologist a.k.a Wanasaikolojia ya kimapinduzi Wanakataa uwepo wa Mungu na Binadamu kwao its animal Being na mimi naegemea Creationism Theory ya kutambua uwepo wa Mungu......so there is missing dimension....

lakini hupo umerudi kwa word war (Vita ya Maneno) na si tena forum ya debating......ahsante sana Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom