Shilingi ya Tanzania kuipiku dollar ya Marekani

Shilingi ya Tanzania kuipiku dollar ya Marekani

Haiwezekani sheria IPO mpka Word bank kuna kitu kinaitwa ..Devaluation of local currency )ukishafanya hio ndo unapata mkopo kuendesha masuala ya nchi so mwinyi aliifanya toka miaka ya 80 kuanguka Kwa socialism (ujamaa)

acha uongo
 
Wanajamvi haswa wachumi nilikuwa naomba kuuliza, hivi kwa mfano Tanzania ikiamua kufuta pesa zake zote na kuanzisha currency mpya labda tukaiita KIDAKA, sasa tukaamua kwamba dola moja iwe sawa na KIDAKA mbili, je inawezekana? na kama haiwezekani ni kwanini? kwani nani anasimaia uanzishwaji wa currency mbona watu wana currency wanaziita kikwao kama kwacha, reale au yen? je wakati zinaanza zilikuwa chini hivyo hivyo? Dah ebu WACHUMI nisaidieni
Kubadili currency ina wezekana ila lazima kuwe na strong argument
Mfano hyper inflation

But kuhusu kuamua kuwa thamani yake iweje inategemea vitu kadhaa me ntazungumzia viwili

1. Nature ya uchumi Wa dunia kwa sasa uchumi wa dunia uko under control of capitalism ( resources go those who are capable to utilize well ) kumbe hata maamuzi ya kuwa na strong currency yatategemea kama unaweza Ku utilize resources effectively

2. Monopoly of resources kiasi kwamba zikawa zinaitajika sana kuliko unazo itaji ww kutoka nje ya nchi (export > import)

Sasa tuiangalie Tanzania kwa kuangalia point ya pili je ??? Tuna uwezo Wa ku-monopolize resources kwa kiasi icho ili kwamba tu determine demand & supply
Utagundua kuwa hatuwezi kwa hivyo kui change currency inawezakana ila itakua haina nguvu

Let's go and review those countries which tried to change currency mfano Zimbabwe ya Mugabe unaona nn??

Wamesha change currency ila purchasing power yake still ipo chini

Sent from my Startimes Nova N5 using JamiiForums mobile app
 
Unajua unachokisema, na pale ambapo huna uhakika huwa unasoma tu na kuuchuna...
Hiyoni kanuni muhimu sana.

Kuna mtu aliniambia najifanya mjuaji sana. Nikamwambia ni kwa sababu mada karibu zote ninazochangia na kubishana nazielewa kwa kiasicha kutosha, na nikiingia nina hakika kwamba naweza kuwa na mchango wa muhimu.

Huwezi kunikuta nimeingia nabishana katika mada ya kubishana kupika vitumbua vizuri zaidi, au bunduki gani inaweza kuua watu vizuri kutoka juu ya ghorofa, najua hivyo si vipaji vyangu.

Nikamwambia ndiyo maana unaniona najifanya mjuaji, kwa sababu mada nisizozijua sana mara nyingi naziangalia tu.
 
yeye ana fanya biashara ya vitu vingapi pili dhahab zenyewe thaman yake sisi kama wa tz hatujui alafu tatu mashine zenyewe za kusafshia mpaka kwao kuwapita mpaka tuwe na uwezo wakutengeneza mashine za kuzalishia maligaf sisi wenyewe una nunua trekta kwao alafu unataka kuwa pita kifedha wao tengeneza na wew uanze kuuza ndipo ufikilie hayo unayo fikiria in short tz inahitaji viwanda vingi sana

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
kaka dhahabu inayouzwa nje acha makanikia fedha hailetwi tz inaishia huko huko ingekuwa inrudishwa tz kwanza.kabla ya kuichukua tz ingefaidika soma taarifa ya tume ya pili ya makanikia

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza nashukuru kuiweka link hio hapa umenipa maarifa kidogo, but nataka nikuambie hivi hio article sio ya kweli na imeandikwa na mtu ambaye hajulikani, mathalani Bank ya Tanzania- BOT inamilikiwa na Serikali ya Tanzania-Muungano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibari (Namna walivyogawana unaweza fuatilia), so unaposema BOT inamilikiwa na Hio familia nimepata shida sana, Pia angalia comments zote kwenye hio article utaona ukweli wa mambo
 
Kwanza nashukuru kuiweka link hio hapa umenipa maarifa kidogo, but nataka nikuambie hivi hio article sio ya kweli na imeandikwa na mtu ambaye hajulikani, mathalani Bank ya Tanzania- BOT inamilikiwa na Serikali ya Tanzania-Muungano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibari (Namna walivyogawana unaweza fuatilia), so unaposema BOT inamilikiwa na Hio familia nimepata shida sana, Pia angalia comments zote kwenye hio article utaona ukweli wa mambo
Conspiracy Theorists wanaweza kukuambia dunia haipo na sisi wote hatupo ila ni simulation ya mad genius mmoja kwenye computer yake.

Wakakupa mpaka na video za YouTube wanasayansi wanakuonyesha habari hizo.

Mtu akikwambia hivyo unaanzaje hata kumbishia?
 
Conspiracy Theorists wanaweza kukuambia dunia haipo na sisi wote hatupo ila ni simulation ya mad genius mmoja kwenye computer yake.

Wakakupa mpaka na video za YouTube wanasayansi wanakuonyesha habari hizo.

Mtu akikwambia hivyo unaanzaje hata kumbishia?
Ha ha ha Jamaa umenichekesha sana, wanaongea vitu ambavyo kwa kawaida huwezi amini, wana connect dots za hali ya juu na kutengeneza aina fulani ya kiukweli but the fact ni waongo, benafsi sikumbuki sana but naijia bank yetu kubwa tanzania inamilikiwa kwa 95% bara na 5% visiwani, sasa nilipoona TZ ipo kenye list nikajua zote alizoandika ni chenga
 
Kuibiwa kwa rasilimali nchini kumepelekea shilingi kushuka thamani, rushwa na uchaguzi usiokuwa huru..

Nakumbuka dola moja ilikuwa kwa shilingi mia tano, sasa dola moja ni 2200 nakumbuka rial ya Oman ilikuwa 2000 kwa rial moja, sasa ni 5600.
Nadhani wasomi watueleze zaidi kwa nini kila siku shilingi kupungua thamani, au kule bot wanaajiriwa vilaza watoto wa mjomba wasio jua kazi zao? Bank ndio inayo endesha nchi nasio rais

nimekuja kukupa ufafanuzi mkuu... kwanza hii quote uliyoweka hapa mwisho nahofia itakutatiza sana ingekua hivi ingekua sawa "rais ndio anaoongoza nchi na taasisi zake zote na kwa sasa anaongoza hadi mihimili yote mikubwa ambayo angeemea kuongozea nchi"

twende kwenye swali lako la msingi ni kwanini shilingi dhamani yake ya dorora kila kukicha
jibu: tunaingiza kutoka nje zaidi kuliko tunavyo toa nje

ufafanuzi wake uko hivi, hapa ndani ya nchi hatuna uzalishaji wa kuuza nje ili tupate fedha za kigeni zaidi badala yake tuna mahitaji zaidi ya kutoka nje kitu ambacho kinatupelekea kutoa hela nje zaidi kuliko kuingiza hizo za kigeni ambazo zingetusaidia kufanyia manunuzi yanayoitaji fedha za kigeni.

mfano dinari inanguvu kwasababu wanauza mafuta sana nje na kupata fedha ambazo ni za kigeni hivyo wakitaka kufanya manunuzi ya vitu nje ya nchi yao hawana haja ya kuchenji hela kuwa ya kigeni kitu ambacho sisi kinatuuwa kabisa, mfano hata haya madeni unayosikia tunadaiwa kama tungekuwa na fedha ya kigeni za kutosha ulipwaji wake usingekuwa na maumivu ya kutoa hela nyingi ya kitanzania.

mfano mwingine ni kama china, wao wameshusha hela yao thamani yani kama utanunua mzigo nje ya china kwa usd na kwenda kuuza kwa pesa ya kichina lazma ule hasara, lkn kwa nini uchumi wao uko juu? ni kwasababu uwezo wao wa ku ex-port ni mkubwa sana na hii inawapa hela nyingi ya kigeni na pia wana miradi mingi ya nje inayo waingizia hela za kigeni za kutosha.

hivyo utaona bila ya kuwa na mifumo ya kunyanyua ex-portation yetu hamna cha kutusaidia kuipiga usd kwa thamani.

bila shaka utaelewa ni kwa nini jamaa anasema anataka hii tz iwe ya viwanda lkn utaona ni kwanini pia baadhi ya watu wanabeza sera yake baada ya kuona wanaongelea sera hii kuwa inatimia hata kama kiwanda kikiwa na vyerehani vinne kwa maana production ya vyerehani vinne haviwezi kubust ex-portation yetu whatever, ni lazma viwanda vyetu demand yake asilimia 60 iwe nje angalau ili kubadili mwelekeo wa thamani ya shilingi.
 
Obviously we are not talking about microsecond forex movements on NADEX here.

We are talking about macroeconomic projection under ceteris paribus. Anything else is subject to Chaos Theory and, inevitably, an exercise in futility.

Kabla ya kufika namba sita, namba mbili nishaongelea more exports (international trade)

Sasa kama nishaongelea exports namba mbili hapo, kwanini unaona namba sita kuna contradiction? Kwanini unaona namba sita kuko restricted kwenye local market wakati tushaongelea uchumi wenye exports hapo namba mbili juu?

Kwanini unajaribu ku isolate local market wakati nchi hii inafanya biashara za kimataifa?

Unapoongeza uchimbaji wa dhahabu Bulyanhulu, na kuuza sana dhahabu nje, na kuongeza balance of trade,na kuweza kujenga kiwanda cha kutengeneza pini nchini kiasi usihitaji kununua pini kutoka Marekani, na kwa hiyo kupunguza mahitaji yako ya dola za Kimarekani, hilo halifanyi hela yako kupanda thamani kwa kulinganisha na dola ya Kimarekani?

Kupanda thamani kwa hela A against B ni function ya supply and demand.

Ukihitaji ku import zaidi unahitaji hela za watu wa nje zaidi na kwa sababu unahitaji zaidi, thamani ya hela zao inapanda.

Ukiwa una export zaidi, huhitaji sana hela za watu wa nje zaidi na kwa sababu huhitaji hela zao zaidi, thamani ya hela zao inashuka kulinganisha na thamani ya hela zako.

Hela ni bidhaa tu kamabidhaa nyingine na iko subject to the same laws of demand and supply. Na unavyozidisha production na exports, na kupunguza imports, automatically unapandisha hela yako thamani kulinganisha na hela za watu wa nje wanaonunua vitu kwako zaidi kuliko wewe unavyonunua kwao.

Why is that so hard to understand while it is a simple demand and supply issue?

Unapokataa "6: Driving the price of foreign currency down is the same thing as local currency appreciation." ni kama unamkatalia mtu anayesema "Ukiwa na ndoo yenye hewa tupu, kuijaza ndoo hiyo maji ni kuondoa hewa"

If you have a binary relationship (for the sake of simplicity) between the USD and TZS, the USD depreciating because of more demand on the US side for Tanzanian goods is the same as the TZS appreciating because of better balance of trade with the US.

If more Americans chase few TZS to buy more Tanzanian produced goods, and very few Tanzanians chase USD to buy American produced goods (because they produce and buy almost everything locally) the TZS will appreciate relative to the USD.

Why is that simple supply and demand concept so hard to grasp?


Mkuu ngoja tukae sawa kwanza, umeanza na "More production of highly desirable good and services will lead to more exports" which to some extent it's collect. Then first statement creates "...a better balance of trade for locals" which creates "...less imports of goods and services" eventually "...less demand for foreign currency" will appeared as a result.

Hapo sasa blue ndiyo kuna shida sababu "supply and demand law" haiwezi ku-influence the value of foreign currency to depreciated only because of less demand from a certain country. Kwa mfano "Riral" ya Saudia japokuwa ina less demands in the international market compare to USD lakini its value has never depreciated before only because of its less demand.

Kwa kifupi ulivyoelezea ni kama kufananisha thamani sarafu na goods or service wakati safaru kazi yake kuu ni kufacilitate exchange of goods and services.
 
Ha ha ha Jamaa umenichekesha sana, wanaongea vitu ambavyo kwa kawaida huwezi amini, wana connect dots za hali ya juu na kutengeneza aina fulani ya kiukweli but the fact ni waongo, benafsi sikumbuki sana but naijia bank yetu kubwa tanzania inamilikiwa kwa 95% bara na 5% visiwani, sasa nilipoona TZ ipo kenye list nikajua zote alizoandika ni chenga
Uzuri au ubaya waoni kwamba wanaweza kukutengenezea a very conving argument.

Mtu anaweza kukuambia Mkapa ni a closet Freemason aliyeingizwa u Freemason na Andy Chande.

Ukiangalia kweli.Mkapa alivyokuwa rais watu walijazana kwenda kumpa pongezi. Akawakatalia wote zawadi zao. Nakumbuka alimwambia marehemu Kitwana Kondo kwamba akitakakumpongeza anunue ukurasa mmoja katika gazeti la chama au serikali na achapishe pongezi zake.

Lakini alivyokuja Andy Chande Sea View kwa Mkapa pale, na kumpa Mkapa zawadi ya Range Rover Vogue, Mkapa hakukataa zawadi ile.

Sasa mtu anaweza kukuambia Mkapa alikubali zawadi hiyo kwa sababu ni Freemason na yeye au kakubali kuwa controlled na Freemasons/Illuminati.

Sasa kutoka hapo mpaka kufikia kusema BOT inamilikiwa na Illuminati si mbali.

Habari hizi umpate mwenyewe Andrew Nyerere, utafurahi.

Siku hizi wamemfungia wapi sijui Andrew kichaa wangu. Simsikii kabisa.
 
Uzuri au ubaya waoni kwamba wanaweza kukutengenezea a very conving argument.

Mtu anaweza kukuambia Mkapa ni a closet Freemason aliyeingizwa u Freemason na Andy Chande.

Ukiangalia kweli.Mkapa alivyokuwa rais watu walijazana kwenda kumpa pongezi. Akawakatalia wote zawadi zao. Nakumbuka alimwambia marehemu Kitwana Kondo kwamba akitakakumpongeza anunue ukurasa mmoja katika gazeti la chama au serikali na achapishe pongezi zake.

Lakini alivyokuja Andy Chande Sea View kwa Mkapa pale, na kumpa Mkapa zawadi ya Range Rover Vogue, Mkapa hakukataa zawadi ile.

Sasa mtu anaweza kukuambia Mkapa alikubali zawadi hiyo kwa sababu ni Freemason na yeye au kakubali kuwa controlled na Freemasons/Illuminati.

Sasa kutoka hapo mpaka kufikia kusema BOT inamilikiwa na Illuminati si mbali.

Habari hizi umpate mwenyewe Andrew Nyerere, utafurahi.

Siku hizi wamemfungia wapi sijui Andrew kichaa wangu. Simsikii kabisa.
Inabidi wasomaji au wasikilizaji wao wawe na akili ya ziada kupambanua mambo, la sivyo unaweza chukua uongo
 
Mkuu ngoja tukae sawa kwanza, umeanza na "More production of highly desirable good and services will lead to more exports" which to some extent it's collect.

Tatizo la kwanza unaandika collect wakati unamaanisha correct. Ukishaanza hivyo tayari unanivunja nguvu kufikiri kwamba najadiliana na mtu anayeielewa lugha anayoitumia katika mjadala huu

Then first statement creates "...a better balance of trade for locals" which creates "...less imports of goods and services" eventually "...less demand for foreign currency" will appeared as a result.

Hapo sasa blue ndiyo kuna shida sababu "supply and demand law" haiwezi ku-influence the value of foreign currency to depreciated only because of less demand from a certain country. Kwa mfano "Riral" ya Saudia japokuwa ina less demands in the international market compare to USD lakini its value has never depreciated before only because of its less demand.

Nimeongelea hapo juu kuhusu ceteris paribus na ku simplify exercise kwa kuangalia trade between two countries.

Na si kweli kwamba Saudi Riyal haijawahi ku fall kwa sababu ya less demand.

Baada ya US Congress kuruhusu Wamarekani kuishitaki serikali ya Saudi After 9/11, demand ya Saudi Riyal ikaanguka na hilo kusababisa thamani yake kupungua.

Soma hapa

UPDATE 1-Saudi riyal falls, bond may be delayed after U.S. Congress vote


Kwa kifupi ulivyoelezea ni kama kufananisha thamani sarafu na goods or service wakati safaru kazi yake kuu ni kufacilitate exchange of goods and services.

Sarafu ni goods, ndiyo maana ina bei na bei yake inakuwa influenced na laws za demands and supply

Soma hapa wataalam wa Forbes wanavyokubaliana na mimi na kukupinga wewe.

Supply And Demand In Currency Markets
Supply And Demand In Currency Markets



The foreign exchange (or Forex) market, just like every other market in the world, is driven by supply and demand. In fact, understanding the concept of supply and demand is so important in the Forex market that we are going to take a step back into Economics 101 for a moment to make sure we’re all on the same page. Having a good grasp of supply and demand will make all of the difference in your Forex investing career because it will give you the ability to sift through the mountain of news that is produced every day and find those messages that are most important. So how do supply and demand affect the Forex market?

Kwa zaidi soma Supply And Demand In Currency Markets




Pia soma hapa

The Effect of Supply & Demand on the Rate of Exchange

The Effect of Supply & Demand on the Rate of Exchange
by Thomas Metcalf

The major determinants of exchange rates are the supply and demand for currencies. Exchange rates rise and fall based on the underlying economic conditions that prompt traders, investors and others to want more of a particular currency. Import and export companies, speculators, bankers and central banks all have a need for buying currencies, and their interaction with each other creates the supply and demand for foreign exchange.

Hiki ndicho ninachosema mimi, na wewe unachobisha
 
Tatizo la kwanza unaandika collect wakati unamaanisha correct.Ukishaanza hivyo tayari unanivunja nguvu kufikiri kwamba najadiliana na mtu anayeielewa lugha anayoitumiakatika mjadala huu



Nimeongelea hapo juu kuhusu ceteris paribus na ku simplify exercise kwa kuangalia trade between two countries.

Na si kweli kwamba Saudi Riyal haijawahi ku fall kwa sababu ya less demand.

Baada ya US Congress kuruhusu Wamarekani kuishitaki serikali ya Saudi After 9/11, demand ya Saudi Riyal ikaanguka na hilo kusababisa thamani yake kupungua.

Soma hapa

UPDATE 1-Saudi riyal falls, bond may be delayed after U.S. Congress vote




Sarafu ni goods, ndiyo maana ina bei na bei yake inakuwa influenced na laws za demands and supply

Soma hapa wataalam wa Forbes wanavyokubaliana na mimi na kukupinga wewe.

Supply And Demand In Currency Markets
Supply And Demand In Currency Markets



The foreign exchange (or Forex) market, just like every other market in the world, is driven by supply and demand. In fact, understanding the concept of supply and demand is so important in the Forex market that we are going to take a step back into Economics 101 for a moment to make sure we’re all on the same page. Having a good grasp of supply and demand will make all of the difference in your Forex investing career because it will give you the ability to sift through the mountain of news that is produced every day and find those messages that are most important. So how do supply and demand affect the Forex market?

Kwa zaidi soma Supply And Demand In Currency Markets


Mkuu embu tulia kwanza nikuulize unalijua vizuri soko fedha? Unajua trading trend ya Currency market?

Sasa naona unaanza kunichaganya sababu tunaenda kila sehemu from supply of goods and services how influence foreign currency sasa naona tunaelekea kwenye currency market.
 
Mkuu embu tulia kwanza nikuulize unalijua vizuri soko fedha? Unajua trading trend ya Currency market?

Sasa naona unaanza kunichaganya sababu tunaenda kila sehemu from supply of goods and services how influence foreign currency sasa naona tunaelekea kwenye currency market.
Unapoongelea thamani ya fedha unaongelea nini kama si currency market?

Ukiwa na fedha ambayo huwezi ku trade nayo, hiyo ni fedha ama picha ya makumbusho?

Hujaandika kwamba demand and supply hazi influence value of currency hapa? Hujatoa mfano wa Riyal ya Saudi Arabia kuonyesha hilo?

Umesoma hiyo link ya Forbes na hiyo ya pili zinavyopinga unachoandika wewe?

Kimsingi wewe unasema hela haiwezi kuuzwa kama bidhaa nyingine kwa kuangalia kanuni za urari wa demand and supply.

Mimi kwa support ya hizo link na kwambia hela ni kama bidhaa nyingine tu, thamani yake inawekwa kwa kuangalia laws za demand and supply.

Is that not the main argument here?
 
Naona mafundi wa uchumi mmekutana..sisi wavuvi wa samaki ngoja tudese labda tutaondoka na chochote..
 
Inabidi wasomaji au wasikilizaji wao wawe na akili ya ziada kupambanua mambo, la sivyo unaweza chukua uongo
Uzuri au ubaya mtu anayeongelea Illuminati kwa kuangalia video za kitoto za YouTube nikimsoma namjua.

Kwa sababu mi nishawasoma hao kwenye vitabu serious vya kisomi vinavyoelezea historia yao na mpaka walivyomalizwa huko Ujerumani zamani sana.

Inakuwa kama Professor Robert Langdon wa ukweli awe anasikiliza mtu aliyejaribu kuiga novel ya Dan Brown na kuifanya iwe habari ya kweli kwa kusikiliza YouTube videos za teenagers wasio hata na robo ya robo ya weledi wa hizo habari.

Sent from my Kimulimuli
 
Kuibiwa kwa rasilimali nchini kumepelekea shilingi kushuka thamani, rushwa na uchaguzi usiokuwa huru..

Nakumbuka dola moja ilikuwa kwa shilingi mia tano, sasa dola moja ni 2200 nakumbuka rial ya Oman ilikuwa 2000 kwa rial moja, sasa ni 5600.
Nadhani wasomi watueleze zaidi kwa nini kila siku shilingi kupungua thamani, au kule bot wanaajiriwa vilaza watoto wa mjomba wasio jua kazi zao? Bank ndio inayo endesha nchi nasio rais
Thamani ya pesa ya nchi husika inategemea zaidi kitu gani unakizalisha na competition oliyopo kwenye soko lake dunia..nitatolea mfano wa nchi mbili hapa yani Japan na Oman.
Japan inazalisha mashine za viwandani na magari. .inabidi pesa Yao iwe ya chini kuliko dollar ili kuvutia wanunuzi wengi maana inaface competition na mataifa yanayozalisha vifaa kama hivyo yaani USA.Germany, Italy. UK nk..Gari la Japan ni nafuu zaidi kuliko nchi hizo hapo juu!Oman wanazalisha mafuta na gas..dollar ni nyingi na wawekezaji wanapigana vikumbo kuwekeza huko..kwahiyo lzm pesa yao iwe juu!kwa Tz.inawezekana tu pale Tutakapovutia wawekezaji hasa kwenye gas madini na mafuta na kuwa na mikataba mizuri inayoingiza kipato cha uhakika..sio 4%kama ilivyo sasa..hilo halitatokea!
i

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
yes hilo linawezekana,Zambia wamelifanya hili wamefuta yale 000 zote na thamani ya kwacha ni zaidi ya ths.yetu,political will na kuwa seriously na uchumi wetu hili tunaliweza,hakikisha tunajitahidi kuuza zaidi ya tunachoagiza,tujitegemee kwa bajeti yetu,na masuala haya ya fedha nchi nyingi zinaoanisha sarafu yao kwa zingine mfano,Namibian dollar kwa ZAR,Lesotho loti kwa ZAR,Swaziland lilangeni kwa ZAR,kwa hiyo ukitembelea hizi nchi unaweza kutumia ZAR ndani ya nchi hizo.
Nagoma nipo customs hapa border ya Zambia na Tanzania' pesa ya z IPO chinii ksana ya bongo ni kubwa

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom