Recent content by Mtalebani

  1. Mtalebani

    I want to marry Sasha Obama seriously

    Kwani sie ndio wazazi wake au washenga wako?
  2. Mtalebani

    The truth about Nape Nnauye ( Ukweli kuhusu Nape Nape Nnauye)

    Pongezi kiduchu zimfikie Nape Nnauye kwa kuonesha kuwa kinyume na ufedhuli, lakini pongezi hizo kiduchu na hatua yake ya kuwa kinyume na ufedhuli, havifuti ufedhuli wake. (Nape ni fedhuli anayevuna alichopanda). Kwa maneno machache tu; 1. Nape na vijana wenzake wa CCM ndio waliozunguka nchi...
  3. Mtalebani

    Goli la mkono ni nini?

    Unaweza ukamwokota mbwa njiani, kisa umemwona akimbwekea mtu alotaka kumpokonya mtoto andazi.. Mbwa huyo ukaona anafaa kufuga. Ukampeleka kwako, hukujali kelele za majirani kuhusu ushenzi wa mbwa huyo... Ukaingia buchani na kwenye machinjio, ukakusanya kwa bidii ngozi za kumlisha, ukampeleka...
  4. Mtalebani

    Saga la Makonda: My Take

    1. Amechelewa kuwapa ushindi wauza dawa za kulevya.Hakuna atayekataa kuwa habari ya Makonda kuandamwa imeanza mara tu baada ya kushughulika na wauza unga. Huu ndio ukweli . Hata Gwajima ameibuka baada ya kutajwa. Wauza unga wamekuwa wakitamba kuwa hakuna aliyewagusa wao akabaki salama. Ni...
  5. Mtalebani

    Njia mpya ya kutafuta kazi siku hizi

    Staili ya kusaka kazi. Vipi wewe ungeweza staili hii?
  6. Mtalebani

    Utafiti: Ndoa ndio mtihani mgumu kufaulu kuliko shule

    Utafiti Umeonesha kwamba'' ni Ndoa tu ndio Shule ngumu sana KUFAULU kuliko shule zote, na ndio maana unapewa Cheti chake kwanza' halafu mitihani yake unaikabili baadae'' la sivyo' Ingeanza mitihani wengi wangetoroka shule na wachache wangefaulu kupata cheti.! Jitahidi kuvumilia kwani waweza...
  7. Mtalebani

    Wahenga walisema..."mdomo uliponza kichwa"

    Hatimaye maisha ya MTAANI yamnyoosha Msemaji wa Yanga-JERRY MURO.
  8. Mtalebani

    Ukweli ulio mchungu sana

    HUU UKWELI NI MCHUNGU KWA KWELI. 1. Kamwe usiishi na mwanaume ambae hujaolewa nae, usiishi na 'boyfriend' wako kinyumba hata kama ni mchumba wako, utaonekana uko 'cheap' na ndoa unaweza ukaisikia kwenye bomba. Labda kama mmeamua kuishi hivyo hivyo bila Ndoa halali inayotambulika either na...
  9. Mtalebani

    Chid Benz ni mfano ya mwanamuziki aliyepipiga hatua tatu mbele na kurudi nyuma hatua tano !!

    From Chid Benzi to Chid Vits.... Aisee tumwombee huyu mshakaji...
  10. Mtalebani

    Rais Dkt. Magufuli ahudhuria ibada ya Christmas mjini Singida, atoa Siri ya Ushindi wake wa 2015

    Usilete udini huku..... hiyo ni imani ya wengi ni mbaya kuihusisha na siasa unazozifikiri
  11. Mtalebani

    Naombeni orodha ya Channel za king'amuzi cha Azam

    e.tv ilikuwepo ila cha ajabu hii sasa ni wiki ya pili chanel hiyo imeondolewa bila kutolewa sababu yoyote mpaka niona KING'AMUZI cha Azam kuwa sio jipu bali ni SHIPA...... maana nilifanya maamuzi ya kukinunua kwaajili ya e-tv na sasa chanel hiyo wameitoa nafuu nihamie DSTV
  12. Mtalebani

    Ni kosa gani alilolifanya Aboud Jumbe kustahili 'kifungo cha maisha'?

    Maelezo ya kina kuhusiana na mkasa huo fungua uzi huu.
  13. Mtalebani

    Fahamu mambo 10 kuhusu 'El Chapo' the drug lord

    Mmmmh.......harakati zake zafaa kutengeneza muvi.
  14. Mtalebani

    Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

    Connect with Ngosha the Don...
  15. Mtalebani

    Masekretari wa KIU Mnaboa

    Aise ni kero kazi kuchart na cm na kuongea kiganda tena na dharau juu
Back
Top Bottom