Kujiua ni hatua ya mwisho ya maamuzi ambayo tunasemaga bado hayatoi solution ya tatizo ..
Lakini naamin kuna vtu kadhaa vnaweza kupelekea mtu kufanya maamuz kama hayo ikiwamo imani ya kumuamin mke/mpenz wako 100% hawez kukusaliti kama vile malaika sasa ikitokea kinyume chake ndo unajikuta...
Kwa nilivyoelewa mimi issue hapo ni kudisco ukizngatia makubaliano yao ya kuoana yaliandamana na kumaliza kwao chuo bahat mbaya bro hali si nzur kimatokeo sasa hapa mtihan ni jins ya kumwambia ukwel mpnz wake na atalichukuliaje swala la kudisco kwa mshikaj ...
Ushaur wangu hebu jarib ku create...
Hyo selective yako ni balaa na kumpata huyo mtu nako ni kaz na ukibahatika kumatch na mtu type hyo probably atakuwa hana mapenz ya dhat na ww ukawa huna furaha ktk mahusiano ..ila kuwa na mwanamke anaejitambua ni advantage kubwa kwan mtashea mambo meng ya maendeleo kuliko yeye akawa ni dependant...
Pamoja na kila mmoja kuwa na mfuas wake anaemjua mwenyewe na waliojionesha wazwaz wao ni team nan mfn kingunge lakini nape hana hekima ya mazungumzo kama walivyowasemaj wa klabu flan hapa nchin ..
Anashindwa kuchuja kauli zake anapozungumza mbele ya public anahis kama ni chake pekeyake na ana...
Yan mpk anafikia maamuz kukutumia nauli ni kwamba alilidhika na response yako ya kujifanya demu nawe pia ulilidhia kuact kama demu kwa maana wkt mna chat ulibehave km msichana na hisia ukazweka km msichana bmaana hata sex chat itakuwa mshafanya as mwanamke ...huo ni uzembe wa kiwango cha juu...
Tatizo binadamu wengi tunapenda kufanya trial ktk ndoa ..we mtu unamjua tokea mko wapenz wakawaida tabia zake lkn unakuwa tyr akuoe ukiamin atabadilika kwenye ndoa ...we ukishaona dalili tu kwenye mapenz sio nzr hakuna haja hata ya kuruhusu mimba ili isje kuwa sbb ya wewe kuingia msitun hali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.