mwalimumzalendo1
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,098
- 406
Umeona eeeehhh!!!!!!
Yaaan ujifunge haswaa kwa lolote litalopaswa ukabiliane nalo
Umeona eeeehhh!!!!!!
Kila maisha ya ndoa yana uchungu wake tena haufanani ndugu yangu. Mengine hayavumiliki? Kama wewe ulivyoamua kuondoka na kuacha kila kiltu.
Eheee sasa na Dr wa muhimbili naye tajiri? jamani kubadili mboga na kukaa cottas za ma Dr nao ni utajiri wa kumnyanyasa mtu?
Tofautisha utajiri na professions!
Binamu yako aliolewa akiyajua yote hayo...mnajipaga moyo atabadilika.
Mwambie aanze kujipanga kuishi mwnyw hapo ndoa hamna.
Well said Nokia83 Kubadilisha tabia ya jitu lenyemeno 32 mchezo!
Hata Mimi napenda mume mwenye title! Goigoi akae mbali na Mimi!
Issue hapa si title ni tabia binafsi ya mtu! kuna uzi mkulima mmoja huko kilombero alimpiga na kumtoboa mke wake jicho kisa amedai talaka baada ya mume kutaka kuoa mke mwingine!
Sasa huyo naye ana title gani?
Na kuna wanaume wana titles zao matajiri wa akili na mali na wanawapenda wake zao na kuwaheshimu!
Mfano my uncle ni well off tena ni advocate mkubwa tu lakini anampenda sana mke wake ambaye ni mama wa nyumbani tena kaishia form 2!
Mume/mke mwema atoka kwa Mungu
Utumwa wa hiyari..
binadamu tumetofautiana sana mwingine anajua hili chaka bovu ila analivaa vivyo hivyo ye alitaka ndoa avumilie tu ndoa ni commitment jamani good enough alijua km kuna mmke kazaa nae bado kakubali hakujiuliza kwa nn hakuolewa tuacheni tamaa km ulivyosema mwenza mwema hutoka kwa mungu km mnafata profession msilalamike sasa
Thanx..Thank you! respect mingi mwaa mwaa mwaa!