ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Nimeshangaa kuona huyu ndugu yetu ktk pambano la mei2 amepigana kwa kujihami na muda wote alikua ana kimbia kimbia tu na kuegemea kamba!lakini mwishoni eti kashinda yeye!yaani kama ile mechi ya chelsea alivyomfunga barcelona...Hivi Kukimbilia na kuegemea kamba hakupunguzi pointi kwa muhusika?