Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
Mweleze ukweli atakuelewa tu mana ana msimamo. Au dawa nyngne mjaze kabisa umfunge
Kwahiyo dawa ya kusumbiliwa ni ndoa???
wanawake tuna mbinu, ccm cha mtoto
namie nisumbueni jamani, nisumbueni please....nakaribisha usumbufu
Kwahiyo dawa ya kusumbiliwa ni ndoa???
wanawake tuna mbinu, ccm cha mtoto
namie nisumbueni jamani, nisumbueni please....nakaribisha usumbufu
Ha ha ha ha lolUnapatikana wapi mtoto? Umepata lunch? Laki inakutosha kwa lunch? Unatoka saa ngapi job? Naweza kukupitia?
Vp inatosha?
Kwahiyo dawa ya kusumbiliwa ni ndoa???
wanawake tuna mbinu, ccm cha mtoto
namie nisumbueni jamani, nisumbueni please....nakaribisha usumbufu
Kwa nilivyoelewa mimi issue hapo ni kudisco ukizngatia makubaliano yao ya kuoana yaliandamana na kumaliza kwao chuo bahat mbaya bro hali si nzur kimatokeo sasa hapa mtihan ni jins ya kumwambia ukwel mpnz wake na atalichukuliaje swala la kudisco kwa mshikaj ...
Ushaur wangu hebu jarib ku create script ya uongo inayoendana na yaliokutokea halaf mwishon unamwambia kama ingenitokea mimi ungelichukuliaje then utamsikia reaction yake na hapo ndo atakupa kipimo nearly accurate ni jins gan anakupenda na kukuthamin ktk hali zote kimaisha .. nb usitegemee rasilimali za familia kujikweza kuoa jipange wewe kama wewe hvyo vingn viwe ziada tuu ...!
Salaam wakuu
Mie jinsia ni ME, Nimedumu na mpnz wangu ss mwaka wa tatu, tuliahidiana mwaka juz tulipokua tunaenda vyuoni kwamba tukimalza tutaoana
Yeye kwa sasa kaajiliwa bt mm nimedisco, ila bado cjamwambia ukweli wa matokeo yangu,
uyu mchumba wangu anaharaka sn yakuolewa coz anasumbuliwa sn kazin kwake coz nimzuri anamsimamo na niwife material nzuri sn, kavumilia huu ss mwaka wa tatu anahitaji mm ndo niwe mme wake wa maisha, na kusema kweli ANANIPENDA
Ndan ya miaka mi3 yote cjawai kutana na material ilioendana namm karbia kila kitu kama uyu dada, na sitak kumpoteza coz naic nikimuacha sitaoa tena bt bint anataka kuolewa ndan ya mwaka huu au ujao cz anasumbuliwa sn
Sikupanga kuoa kabla cjajiimarisha kiuchumi japo nyumban uchumi ukovizuri2 nimepanga mwakani ni apply upya chuo,Wakuu naombeni ushauri, sitaki kumpoteza uyu bint nampenda vilivo, nifanyeje????
madesa yalikuwa hayapandi kichwaniilikuaje mpaka ukadisco?
Hivi Una mchumba??? Nmekupenda bure
Mchumba angu kadisco teh
Ha ha ha ha lol
Mchumba angu kadisco teh
Kwahiyo dawa ya kusumbiliwa ni ndoa???
wanawake tuna mbinu, ccm cha mtoto
namie nisumbueni jamani, nisumbueni please....nakaribisha usumbufu
Nakupigia hupatikani, Nahisi simu ysko itakuwa imetumbukia kwenye supu,nikaona Nikuchukulie i phone 6, una nafasi saa ngapi Nikupitishie?
Nakupenda sana binti, Nakupenda kuliko cheese burger, Nakupenda kuliko oxygen, Naomba unikubalie niwe mpenzi wako, Nataka Nikupende mpaka ukinai, Nataka Niitawale nafsi yako, Unifikirie mimi tu kama Navyokufikiria wewe tu.
Samahani kwa muda wako na usumbufu wa kusoma maelezo yangu marefu. Kutokana na hilo, Naomba Nikutumie laki 7 kama gharama ya usumbufu na advance ya gharama ya jibu lako kwangu, hata kama litakuwa negative.
Vipi, bado hujaanza kuinjoi usumbufu?
Nakupenda totoo! Nakupenda kama nyamachoma iliyo na ndimu, chumvi kwa mbali na kachumbari pembeni, Nakupenda kama coca cola ilivyo tamu baada ya kutembea juani kwa masaa manne, acha kuuchuna, Naomba unijibu, na chochote unachotaka Nitakufanyia.
Hii ni kweli lakini, usichukulie kama mzaha!
Lol....kwa usumbufu huu naona ndoa wiki ijayo ha ha ha