Ahsanteni kwa mlionipa ushaur na pole.
Kuna mtu kanambia hyo inshu inaweza ikawa imechezwa na maafisa utumish so lazma niwe makini kwan wanaweza fanya figisu wakafuta ushahidi asa ndo najiuliza nianzie kwa maafisa utumishi au nianzie hazina ndogo kwanza?
Habari za leo wanaJf,
Mimi ni mtumishi wa serikali ndo nmeanza kazi mwaka jana,
Juzi tumeingiziwa mshahara nikashangaa kuona mshahara wangu upo nusu nikashindwa kujua kwanini na nikauliza kila mtu anasema yeye hana tatzo.
Jana nmeenda bank nmechukua bank statement inaonyesha uliingia hivo...
Mambo mengine watu tunaongea hayasense hata kidogo.
Hivi jambo lingejadiliwa ndani ya Ccm bila Lowasa kujua? Kama Magufuli alijulikana kabla kuwa ndiye atakayepitishwa nadhani Lowassa na Membe hata wasingetumia nguvu kutafuta nafasi.
Ukweli ni kwamba nafasi ya Magufuli haikuwepo kabla...
Ukijaribu kuangalia vitegauchumi vinavyokusanywa na hiki chama kiukweli kinamfanyia sivyo kabisa mwalimu wa Tanzania.
Kila mwl hadi anapofikia hatua ya kuretire anakua amechangia si chini ya mil.20 anakua amechangia but hela yote hyo atakachoambulia ni t_shirt na mabati 20, Ndani ya mil 20...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.