Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,186
- 454,569
Nikupm alaf[HASHTAG]#wqcmoderator[/HASHTAG]\ mbona hujani pm?
Nikupm alaf[HASHTAG]#wqcmoderator[/HASHTAG]\ mbona hujani pm?
lege ndio muda huu watu tunapumuzika emu tupia vitu hapa
Penny namimi ananiudhi jamaniiPeniela anaanza kunikera sasa. Yeye kila siku anagongwa na watu tofauti lakini Eli hata haoni wivu
sijajua mnachokilalamika ni nn wakuu jana nilisema kuwa kama nitapata mda ule ule usiku nitaongeza 5 but nilizongwa na mambo nikashindwa na niliwaambia kuwa kama nitashindwa basi tukutane saa 2 usiku wazee??
mbali na JF kuna maisha mengine ndio maana kila mtu aningia kwa mda wake anapopata mda wengine kutwa mnashinda kwenye pc au na sim mkononi mkiperuz sababu shughuli mnazozifanya zinaruhusu ila ss wengine ni ngum sana wakuu.tuvumiliane.mwanzo nilijitahidi sana lkn now time zinanibana
Usisikilize sana malalamiko hayo. Tafuta maisha mkuu, haya mengine in ziada tu. Wala siyo deni, kwamba umekula hela za watu.sijajua mnachokilalamika ni nn wakuu jana nilisema kuwa kama nitapata mda ule ule usiku nitaongeza 5 but nilizongwa na mambo nikashindwa na niliwaambia kuwa kama nitashindwa basi tukutane saa 2 usiku wazee??
mbali na JF kuna maisha mengine ndio maana kila mtu aningia kwa mda wake anapopata mda wengine kutwa mnashinda kwenye pc au na sim mkononi mkiperuz sababu shughuli mnazozifanya zinaruhusu ila ss wengine ni ngum sana wakuu.tuvumiliane.mwanzo nilijitahidi sana lkn now time zinanibana
LEGE big up kwa kubeba jukumu hili asiyeridhika aifuate huko unakoitoa wewe, watu wanalalama unadhani wamekuajiri? Chaaaaa! Leta kadri muda unavyokuruhusu.sijajua mnachokilalamika ni nn wakuu jana nilisema kuwa kama nitapata mda ule ule usiku nitaongeza 5 but nilizongwa na mambo nikashindwa na niliwaambia kuwa kama nitashindwa basi tukutane saa 2 usiku wazee??
mbali na JF kuna maisha mengine ndio maana kila mtu aningia kwa mda wake anapopata mda wengine kutwa mnashinda kwenye pc au na sim mkononi mkiperuz sababu shughuli mnazozifanya zinaruhusu ila ss wengine ni ngum sana wakuu.tuvumiliane.mwanzo nilijitahidi sana lkn now time zinanibana
Mkuu isijisikie vibaya juu ya hisia za followers wako, hilo ni jambo la kawaida. Addiction ni mbaya sana bila kujali ni addiction ya nini. Hii story ina-addict na ndio maana unaona hivo. Hiki kinachotokea kinanikumbusha issue ya Naomi na Elibariki, vile Naomi alishindwa kuvumilia akaona kama mbwai, mbwai tu.sijajua mnachokilalamika ni nn wakuu jana nilisema kuwa kama nitapata mda ule ule usiku nitaongeza 5 but nilizongwa na mambo nikashindwa na niliwaambia kuwa kama nitashindwa basi tukutane saa 2 usiku wazee??
mbali na JF kuna maisha mengine ndio maana kila mtu aningia kwa mda wake anapopata mda wengine kutwa mnashinda kwenye pc au na sim mkononi mkiperuz sababu shughuli mnazozifanya zinaruhusu ila ss wengine ni ngum sana wakuu.tuvumiliane.mwanzo nilijitahidi sana lkn now time zinanibana
sema unagongelea msumari kwenye kidonda mkuu ungekausha pia ingekuwa poaUsisikilize sana malalamiko hayo. Tafuta maisha mkuu, haya mengine in ziada tu. Wala siyo deni, kwamba umekula hela za watu.
Utaratibu uliouweka binafsi nauona upo poa tu.
,Usisikilize sana malalamiko hayo. Tafuta maisha mkuu, haya mengine in ziada tu. Wala siyo deni, kwamba umekula hela za watu.
Utaratibu uliouweka binafsi nauona upo poa tu.
Ikiwezekana leo piga kimya!
Mkuu leo hata husipotuma sawa tu, wala watu watembelee majukwa mengine wajue nchi yao inavyokwenda.sijajua mnachokilalamika ni nn wakuu jana nilisema kuwa kama nitapata mda ule ule usiku nitaongeza 5 but nilizongwa na mambo nikashindwa na niliwaambia kuwa kama nitashindwa basi tukutane saa 2 usiku wazee??
mbali na JF kuna maisha mengine ndio maana kila mtu aningia kwa mda wake anapopata mda wengine kutwa mnashinda kwenye pc au na sim mkononi mkiperuz sababu shughuli mnazozifanya zinaruhusu ila ss wengine ni ngum sana wakuu.tuvumiliane.mwanzo nilijitahidi sana lkn now time zinanibana
Take your time mkuu, utakapo kuwa na nafasi mwaga hapa, ukiwa tight angalia ishu zako. Twende mdogo mdogo tutafika tu.sijajua mnachokilalamika ni nn wakuu jana nilisema kuwa kama nitapata mda ule ule usiku nitaongeza 5 but nilizongwa na mambo nikashindwa na niliwaambia kuwa kama nitashindwa basi tukutane saa 2 usiku wazee??
mbali na JF kuna maisha mengine ndio maana kila mtu aningia kwa mda wake anapopata mda wengine kutwa mnashinda kwenye pc au na sim mkononi mkiperuz sababu shughuli mnazozifanya zinaruhusu ila ss wengine ni ngum sana wakuu.tuvumiliane.mwanzo nilijitahidi sana lkn now time zinanibana
Mkuu tunakuelewa na tunakukubali sanaaa tatizo ni kwamba umetuomjesha kitu kitamu sasa kila saa tunataka kulamba lamba utusamehe bure.Wewe ni super star kwahiyo tegemea haya mkuu .Keep it up LEGEsijajua mnachokilalamika ni nn wakuu jana nilisema kuwa kama nitapata mda ule ule usiku nitaongeza 5 but nilizongwa na mambo nikashindwa na niliwaambia kuwa kama nitashindwa basi tukutane saa 2 usiku wazee??
mbali na JF kuna maisha mengine ndio maana kila mtu aningia kwa mda wake anapopata mda wengine kutwa mnashinda kwenye pc au na sim mkononi mkiperuz sababu shughuli mnazozifanya zinaruhusu ila ss wengine ni ngum sana wakuu.tuvumiliane.mwanzo nilijitahidi sana lkn now time zinanibana
Kazi kwanza we hata ukileta hata wiki ijayo haina shida.... Mradi tu utupie kwa moyo wote
Upambe upi hapo kwel tupu vitu vizuri havihitaji harakaAcha Upambe