PhD kwa Mwl Christopher Mwakasege

PhD kwa Mwl Christopher Mwakasege

Utumishi wa Mungu tena ulio wa kweli nimeuona hapa leo kupitia Mwl.Chris Mwakasege...angekua mmoja kati ya hawa manabii wetu pangechimbika zingetoka shuhuda nyingi na chafu lakini kwa Mwakasege zaidi ya mabezo ya kibinadamu hakuna shutuma wala kashfa
Asante sana Mungu kwa mtumishi wako huyu endelea kumuinua na kumbariki baba ili kizazi chetu kipone..Amen
 
Ninachojua hawa wachungaji wanaishi maisha ya juu na starehe huku asilimia kubwa ya wasikilizaji wao ni walala hoi, hata huyu Mwakasege nae ni mpigaji tuu bonge la jumba, watoto shule ulaya kwa sadaka zetu.
 
Ana PHD YA MBINGUNI MPWA NDIO MAANA HATA MAWAZIRI WAKIKANYAGA SEMINA ZAKE WANATETEMEKA

NAKWAMBIA KAMA AUKO SAWA KWA MUNGU USISOGEE MBELEE KAMA HON UTAAIBIKA ZILE NGUVU AZIJALISHI WE N NA NANI ACHA KABISA.....,...
 
Mchange huduma afadhiliwi NA MTU n nyie wenye PhD za kidunia mtoe sadaka za dhabihuu muone Mungu anavyosimama NA nyie aisee Bwana ambariki tu
 
Ninachojua hawa wachungaji wanaishi maisha ya juu na starehe huku asilimia kubwa ya wasikilizaji wao ni walala hoi, hata huyu Mwakasege nae ni mpigaji tuu bonge la jumba, watoto shule ulaya kwa sadaka zetu.
Usimuhukumu.......tambua yeye ni mchumi mkubwa hapa Tanzania....
 
Namkumbuka toka akiwa Vijana road Arusha..na peugeot ya ELCT,
Huyu mtu Elimu imemkomboa ana nidhamu sana tofauti watumishi fulani,fulani....''utasema Nzalendo unasema nini'' Cheki maisha ya wanao waandika watumishi wa Mungu negatively yakoje...ndipo utapata jibu.
 
Naona huu ni wakati muafaka kwa vyuo vyetu vikuu ndani ya Tanzania kumtunuku Shahada ya (Heshima) kutambua na kuuthamini mchango wa Mwl huyu katika ukombozi wa Fikra haswa katika maswala ya Uchumi na Uongozi.
Amefanya nini?
 
Hana haja ya hiyo PhD ya vyuoni
Maana hafanyi kwa akili zake mwenyewe, we mtukuze Mungu kwa alichompa na Mungu atamuongezea zaidi kwa ajili ya wengi.
so hao wanaotunukiwa wanafanya kwa akili zake don be so selfish think wider
 
Mungu anatambua
Tanzania inatambua
Dunia inajua.
mkuu, sio kwamba nam diss, ila mimi sijui, kitu kikubwa sana alichofanya hadi kustahili phd, labda post yako ya mwanzoni ungeifafanua zaidi
 
For the first time in my life nilielewa Bible kupitia huyu Mwalimu, Mungu ambariki sana huyu baba,anajua kudeliver mafundisho,hata uwe slow learner utaelewa tuu,so calm,hana masifa wala kuponda watu,hahubiri dini, anahubiri maarifa ya kwenye Biblia,sio selfish mana kwa kipawa kile ashasema wazi hana mpango wa kufungua kanisa mana sio wito wake
Mungu amjalie maisha marefu tuendelee kujifunza
Sipati picha angeanzisha kanisa aisee,ningehamia huko asubuhi tuu..
 
Back
Top Bottom