Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Inakubidi ukae chini na kufikiri sn ndo utajua mantic ya Comment hiyo,,

Kwa kukusaidia tu ni kwamba Mungu humsaidia mwanadamu kutengeneza ama kuvumbua kitu kwa lengo fulani alilo kusudia yeye mwenyewe,,

Hivyo kusudio kubwa la Mungu kufanikisha Ugunduzi wa ndege yenye uwezo mkubwa wa namna hiyo kwa taifa la Israel,, kusudio lake kubwa ni kulilinda taifa hilo kipenzi chake,,
maana aliahidi kulilinda daima.

Akili za namna hii ni hatar sana kwa maendeleo ya Dunia!.Ni aibu sana kuwa na viumbe hai wanaowaza namna hii katika karne hii ya 21.

Mungu anayesaidia kuvumbua ndege za kivita zenye uwezo mkubwa lakini ameshindwa kuwasaidia wanadam kujua baadhi ya madawa ya kutibu magonjwa ?.Watu wanakufa vitandani kwa kukosa chakula huku mungu anawajaalia mamilioni watu watengeneze ndege vita.

Kwa mantiki yako ni kwamba mungu anashabikia vita na maovu!.
Mungu ambaye mpka leo shetani kamshinda na sasa anashindana nae kumgombea mwanadamu lakini mungu huyo huyo anaandaa vita kwa kuwezwsha watu kubuni ndege zisizoonekana kirahisi.

Mungu huyo huyo anajiandaa kumchoma moto mwanadamu eti kwa kushindwa kufuata aliamuru wakati yeye mwenyewe pia ameshindwa kumuondoa shetani.


HAKUNA MUNGU
Karibu katika ulimwengu huru.
.......Free ideas.....
 
Imagine surviving rocket attacks in every few minutes a day:

Hiyo iron Dome kiboko, japo siyo 100% lakini technologia wametuzidi, imagine tz tungeshambuliwa na rocket kiasi hicho..
 
Ingia YouTube tafuta documentary moja ya jamaa wawili mmoja muisrael wanafanya interview juu ya kitabu Chao Kuhusu activity za mossad na Israel spy network.

Humo utagundua waisrael spy wao unakuta mtu mmoja anammajina kama kumi ya karibu kila taifa. Utajua spy wakiarabu weñgi waliyokea Argentina ili kufuta I'd zao isionekane ni waisrael. Kuna wengine walipenya hadi kuwa mabest friends Wa wake Wa marais na watu wenye huaminiwa na kuheshimiwa ktk nchi maadui Wa Israel. Wengine walikuwa viongozi wakisafiri kuvujisha mipango ya Waarabu Israel. Kulipuliwa ndege za Waarabu haikuwa miujiza.
Pia mtafute Moshe Diane jamaa anachongo, alivyowafundisha Wamisri adabu. Aliwahi kupiga vifaru Saba vya Syria akiwa na kifaru kimoja.
A Good story teller of Israelites. Keep it up
 
Hiyo iron Dome kiboko, japo siyo 100% lakini technologia wametuzidi, imagine tz tungeshambuliwa na rocket kiasi hicho..

Basi tu, unashindwa kuelewa nchi kama yetu kwa nini zipo! Mungu anajua, potelea mbali. Israel kuna wakristo, waislamu kibao na misikiti yao lakini cha ajabu waisalamu wenzao - arabs: Hamas, Hezb, etc wanarusha missiles kila muda! Waislamu akili yao wanaijua wenyewe!
 
Basi tu, unashindwa kuelewa nchi kama yetu kwa nini zipo! Mungu anajua, potelea mbali. Israel kuna wakristo, waislamu kibao na misikiti yao lakini cha ajabu waisalamu wenzao - arabs: Hamas, Hezb, etc wanarusha missiles kila muda! Waislamu akili yao wanaijua wenyewe!
mkuu tengua kauli watakuja speed ooooh,sema waarabu usiseme muslims
 
Source nenda google, usiwe mvivu
Hizo ni story za kipropaganda.
Hizo trillion 32 cubic meters za Tamar na Leviathan sio dili
Hizo ni 10% tu ya reserve iliyopo saudArabia ambayo ni ya tano duniani nyuma ya marekani kuwa na reserve yA kutosha. Wakati Egypt katika bahari ya Mediterranean imegundulika gesi iliyovunja record kwa wingi.
Hiyo story ya ulaya na us kuuziwa hicho kiwango cha gesi na mafuta kwa miaka hiyo ni kahawa,hiyo ni kama 5% ya reserve ya gesi iliyopo us
 
Hiyo ni Nguvu yake mungu mwenyewe maana Aliapa kuilinda Israel yke hadi mwisho,,

Kila Aibarikie Israel atabarikiwa na kila Ailaanie Israe pia Atalaaniwa,,

Ni kiapo kikubwa sn hiki,, kwa Lugha rahisi unaweza kusema ,,kila Aipendae Israel naye Atapendwa na Mungu na kila atakaye thubutu kuipiga Israel basi Atachakazwa na Mungu mwenyewe kwa kutumia mkono ule ule wa mwanadamu,,

Shime tuipende sote Israel taifa letu la Tz nalo libarikiwe na Mungu wetu.
Ni kweli kabisa, Mfano halisi angalia mataifa kama Marekani yanavyozidi kubarikiwa
 
Wayahudi wana siri kubwa, wao wanampa tenda mmarekani ya kutengeneza ndege zao zote za kivita huku wakisimamia utengenezaji wake kwa kutumia watalaam wao.

Zikishwa tengenezwa wanazinunua, wanazipeleka kwenye workshop zao kwa ajili ya marekebisho ili hizo ndege zikidhi viwango vya mazingira yao kivita.

Mmarekani ametoa kibali cha marekebisho ya ndege zake kwa israel pekee yake na mkataba hauruhusu israel kuifanyia marekebisho ndege ya mmarekani nchi nyingine yoyote duniani.

Kwa maana hiyo F-22 ya mmerekani ni tofaufi sana na ndege hiyohiyo iliyo kwenye jeshi la anga la israel.

Wanaoukumbuka miaka ya nyuma ufaransa iliwahi kuisaidia iraq kutengeneza kinu cha nyuklia, hicho kinu kilikua kinalindwa usiku kucha na rada za kutosha. Cha ajabu wayahudi walikishambulia usiku bila ndege zao kuonekana kwenye radar .

Waarabu waliwahi kumjia juu mrusi wakidai anawauzia rada mbovu kwa sababu hazioni ndege za israel bila kujua kuwa stealth technology kwa myahudi ilianza kutumika miaka mingi sana.

Ukweli jamaa wana technologia ya anga ambayo hata marekani hana.

Ndege zao zinaumahiri wa hali ya juu, rubani wao wa kijeshi ni moja za ajira zinazoajiri vichwa matata vya nchi hiyo.

Kwa hiyo hiyo F-35 stealth fighter jet wanaenda kuitengeneza upya na kuweka makorokoro kibao ya kieletronics ya kufa mtu.

RADAR ZA MASHARIKI YA KATI ZITAFUTE KAZI NYINGINE
Kazi hip sasa hapa ujaniweka waz tabuyupu
 
Waswahili wanasema ukijuwa huu,mwenzako anajuwe ule.Kwa hiyo hapo hajafanya chochote.Mda si mrefu utasikia,inaonekana kwenye rada.
 
Waswahili wanasema ukijuwa huu,mwenzako anajuwe ule.Kwa hiyo hapo hajafanya chochote.Mda si mrefu utasikia,inaonekana kwenye rada.
Mkuu kwani unafikiri hazionekani kwenye rada hata ya mtengenezaji wa hiyo ndege
 
Back
Top Bottom