Chama cha walimu ni jipu lafaa kutumbuliwa

Chama cha walimu ni jipu lafaa kutumbuliwa

chija

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
276
Reaction score
65
Chama cha walimu ni jipu lafaa kutumbuliwa kinakusanya mabilioni kila mwezi wameshindwa kununua hata basi moja la kusafirisha walimu hata mabasi ya eicher na tata mmeshindwa kununua mnabaki kupiga vita ubunifu wa mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda
 
Wanakusanya hela kwa ajili ya kampeni za CCM 2020 Natania tu
 
Ukijaribu kuangalia vitegauchumi vinavyokusanywa na hiki chama kiukweli kinamfanyia sivyo kabisa mwalimu wa Tanzania.
Kila mwl hadi anapofikia hatua ya kuretire anakua amechangia si chini ya mil.20 anakua amechangia but hela yote hyo atakachoambulia ni t_shirt na mabati 20, Ndani ya mil 20 anachonufaika nacho ni kama mil 4.

Hili ni jipu
 
Sasa hizo hela si ndo zimeweka hivo vitegauchumi? Vyama vingine vya wafanyakazi vimewafanyia nn? Unataka kusema sector zote wafanyakazi wanamaisha mazuri isipokuwa walimu?? Hizo ni propaganda ili mvunje umoja wa walimu kwa kuwa kwenu ni tishio.
 
Back
Top Bottom