Ndugu yangu, KAMA NI VITENDO, endeleeni na mahafali yenu kama CCM wanavyofanya. Hapa Tutaona kama walinda amani wetu "watayalinda" mahafali ya sehemu zote mbili.[emoji117 said:USHAURI: Ni lazma ifike sehemu tuache kulalamika kila siku tufanye maamuzi kwa vitendo ili Dunia yote ijue...Haiwezekani Nchi wapo wenye haki zaidi kuliko wengne...Nchi hii ni ya kwetu sisi sote..Kama mikutano inazuiwa, Vikao vinazuiwa, mahafali yanazuiwa, tutatafuta njia nyingine..HAKI HAIOMBWI..
Jafary Ndege,
Mratibu CHASO~MKOA MOROGORO.
Kwan chaso ninini? Na shirikisho la vijana ccm vyuo vikuu ni nini?Naona najadiliana na asiye jua anajadili nini ,tuachane na hayo tujadili mengine.kwa hyo chaso inaiga shirikisho la vijana wa ccm??
chaso - chadema student organisation!! ndio maana nikakuambia halina maana yoyote! wanapoteza tu mudaKwan chaso ninini? Na shirikisho la vijana ccm vyuo vikuu ni nini?Naona najadiliana na asiye jua anajadili nini ,tuachane na hayo tujadili mengine.
Wewe ni mjinga wa mwisho bila shaka wewe ni jambazi kutoka machameCcm wasidhani kuwa watatawala milele
Haki huinua Taifa.... Haki ikikosekana Taifa huingia kwenye machafuko
Na iona dalili ya kuwa km Libya mda si mrefu
Mabadiliko ni kama upepo uvumao huja siku moja tu na hakuna awezaye kuizuia
Na: Jafary Ndege:
Mratibu Chaso Mkoa~Morogoro
Leo nimebahatika kwenda kwenye Ofisi ya Kamanda wa Mkoa Polisi Morogoro baada ya kutuita Viongozi wa CHADEMA Mkoa na Wilaya kuzungumzia Mahafali ya Chaso Mkoa yaliyokuwa yafanyike kesho tarehe 25/06/2016 ambapo Mgeni Rasmi ni Mhe. Edward Lowassa.
Cha kunishangaza tulipokuwa tunazungumza na RPC akasema yafuatayo:
1. Siwezi kuwaruhusu kufanya mahafali yoyote kwa kuwa Sasa hivi Haturuhusu mikusanyiko ya aina yoyote.
2. Hivi msipofanya mahafali mtapungukiwa nini..mahafali yana faida gani kwenu??
3. Mnafanyeje Mahafali bila wanafunzi kufanya mitihani yao??
Lakini wakati RPC anasema hayo kesho Jumamosi tar 25/06/2016..Shirikisho la CCM wanafanya Mahafali yao pale SAVOY HOTEL.
Sasa najiuliza;
1.Mahafali ya CCM yanayofanyika kesho sio mkusanyiko?? Tena kwa mujibu wa RPC wa Morogoro inaonesha CCM wanafanya mahafali yao bila kibali chochote.
2.Naendelea kujiuliza hivi RPC hakusoma sekondari wala Chuo kujua umuhimu Mahafali au hata kama hakusoma hakuwahi kusikia mahafali kwa jirani ili atambue umuhimu wake.
3. Naendelea kujiuliza kuwa RPC hajui kuwa wengi wetu na utaratibu tangu sekondari tumekuwa tukifanya mahafali kabla ya mitihani? Amekariri kuwa mahafali yanafanyika tu baada ya mitihani...kumbe yote yanawezekana.
USHAURI: Ni lazma ifike sehemu tuache kulalamika kila siku tufanye maamuzi kwa vitendo ili Dunia yote ijue...Haiwezekani Nchi wapo wenye haki zaidi kuliko wengne...Nchi hii ni ya kwetu sisi sote..Kama mikutano inazuiwa, Vikao vinazuiwa, mahafali yanazuiwa, tutatafuta njia nyingine..HAKI HAIOMBWI..
Jafary Ndege,
Mratibu CHASO~MKOA MOROGORO.
Pulchra Animo, I know not your profession. But atleast I know you are kaput when it comes to politics.
You may have been in all G7 countries but not in their collages and universities, ok, may be there but not in how they run student's affairs.
Politics is there trust me!
I don't need to be there to know what's there!
In the first place, nothing limits our politics to what is going on in the G7!
Your very unrealistic when it comes to Tanzanian politics!
In G7 the winner in polls is real, here its not.
In G7 democracy leads, here the president proudly announces alternative to democracy.
Brother, dont be pro Magufuli government without knowing much about it!
Brother don't listen to that man when he tells you goodmorning, please, go outside and look, it may be dark!
Just come to our streets, our villages and hear the sugar taills.
Come and ask who won Tanzania and zanzibar elections.
As what the president says about democracy!
Please, talk to our Magufuli and please talk in English!
Ask him, what is the direction of Chato from here? [ where you meet] after that reframe your thinking about this country.