Recent content by mashibeta

  1. M

    Fid Q, How do you explain this brother?

    Unaposema 90's ni tofauti sana na unaposema 1990 kama umepita darasani nadhani utaelewa hapa umejikanyaga. Kingine Faridi hakuwa na miaka 7 1990 hapa umekurupuka rudi kwenye chanzo chako cha taarifa. Faridi yuko kwenye mid thirties haiwezekani 1990 akawa 7 years. Faridi hajui wala hajawahi...
  2. M

    Fid Q, How do you explain this brother?

    Ukiongelea real Hip hop kwa sasa mfalme ni Nash Mc hakuna mwingine. Farid amekuwa namuona, anaanza kuandika namuona, anaanza kukopi quotes kutoka malenga na vitabu vya mnara wa mlinzi namuona. Anapanda jukwaani mara ya kwanza namuona. Hivyo ukimuita mfalme lazima nikushangae. Faridi humjuih hata...
  3. M

    Fid Q, How do you explain this brother?

    Sahihisho bro! Mfalme feki wa hiphop TZ Fid q kaanza kurap kwenye 90's
  4. M

    Fid Q, How do you explain this brother?

    What do you expect from a form two drop out?? Fid ni kiazi kitambo sema mjanja mjanja kwenye kuiba mistari sio ya watu tu hata kutoka kwenye baadhi ya mashairi ya malenga.. Paulo Sergio De Souz amefanya la maana kuanzisha huu uzi jamaa is a joke and living a lie..
  5. M

    Fid Q, How do you explain this brother?

    Hakuna haja ya kutukana aisee.. Am sure na wewe humjui Fid q vilevile zaidi ya kumsikia redioni..
  6. M

    Is It Possible, Mgombea wa CCM kwa 2015 ni Nchimbi?!. Yule "Jamaa Yangu" ni "Yohana Mbatizaji Tu?!.

    Daaah! Dicky ungechuna tu na hii coment yako hasa hapo nilipo bold blue umejiweka kweupeee. Najua mtajwa ni jamaa yako na kuna baadhi ya biashara mnafanya wote ukiachilia mbali ya kupitishia magari Zanzibar kwa dili na yeye kukufanyia fast track ya kibali chako cha ile kitu unaficha chini...
  7. M

    Nani haswa anapaswa kuitwa na kutambuliwa kama "Genius"?

    Hii topic imenikumbusha dogo mmoja mwanza miaka ya tisini mwishoni maeneo ya mirongo alikuwa mtundu mtundu alikuwa anatengeneza madish na vitu vya umeme mbalimbali mara nyumba za kwenye miti betrii za malimao. funga kazi alitengeneza full recoil rifle kwa vipande vya bomba, springi na mipira ya...
  8. M

    Huu Ndio Mjengo wa Kifahari Anaoujenga Msanii Diamond Platinumz.

    Duh! sijui ni lack of exposure au uwezo wa kufikiri. Yani fundi anakujengea nyumba hardly a meter kutoka kwenye ukuta wa fensi unamuangalia tu mpaka anamaliza hapo hewa na joto sijui itakuwaje?? Hapo Bilionea kachemka..
  9. M

    Kilio hiki bwana Lowassa utakilipia kabla ya 2015

    Hapa ulifanya makusudi au uliazima koti na helmet tu kutuzuga uko kikazi zaidi Mr Engineer?? Naamini wewe umesoma hiyo fani na kitu cha kwanza kabisa huwa ni SAFETY. Sasa nikicheki chini una moka ya kanisani halafu unadai uko site. Kweli??? Safety boots wapi? Au kampuni bado ndogo mnaenda site...
  10. M

    Uraia wa waTutsi !

    It's not fair kivipi?? Ukweli ndio huo japo mods wameiondoa picha hiyo haibadilishi kuwa Anorld Kayanda ni Mtusi na sio raia anayejificha kwenye chaka la uTanzania na kujiita mtu wa Karagwe.. Ishasomeka...
  11. M

    Ridhiwani Kikwete, Hii kampuni ni yako?

    Kuna watu hawaelewi the big picture ukisemwa ukweli inaonekana majungu na wivu...
  12. M

    Ridhiwani Kikwete, Hii kampuni ni yako?

    Labda tuwekane sawa hapa wazee. Nilikuwa naukodolea macho uzi lakini kutokana na comment yako imebidi nichangie tu.. Kwanza kabisa Side Lugumi aka Bilionea hajawahi kuwa mpambanaji kihalali hivyo hicho cheo mvue. Saidi namfahamu toka Mwanza miaka ile akiwa mesenja kwenye kampuni ya Amrani...
  13. M

    Jamani.. Jamani, serikali imeanza kutumia RANGE ROVER VOGUE kama STK..!?

    I am sure hili gari ni la watu wa usalama kila siku around saa kumi na mbili na nusu asubuhi hutoka kwa wazee wa kung'oa kucha pale makumbusho na kuelekea oysterbay. Nimeiona mara kadhaa ikiwa na namba tofauti lakini dereve yule yule. Walivyo wapuuzi plate number mara nyingi wanaegesha tu juu ya...
  14. M

    oryx news!!

    Ni vizuri kuwa na matumaini nakubali lakini mfumo wa kuajiri oryx ni kumleta ndugu yako kwanza, matangazo kwenye magazeti ni modality tu pale. Fuatilia surnames za wafanyakazi wengi pale utakuja kunipa jibu, watu hawaoni noma kuajiri watoto wao. Kama kuna mtu alifanikiwa kuitwa kwenye interview...
  15. M

    oryx news!!

    Kazi Oryx?? Una ndugu yako pale?? La sivyo usipoteze muda mzee....
Back
Top Bottom