oryx news!!

oryx news!!

unaambiwa ukweli unaleta nyodo zako nyambaf******* wapigie uwaulize au nenda mwenyewe physically mbinafsi mkubwa we huna cfa ya kua mwana jf.

mtanzania lawama badala ya kuwaza nini afanye baada ya hapo. Elimu tegemezi inaua watu kwa hasira.
 
Ila tukumbukane bana endapo unaona tangazo la kazi basi mshirikishe na mwenzio!! Pia nimekucourt kwenye neno kubar badala ya kubali!! Sorry for that nataka nikurekebishe tu

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

thanks nimeelewa hapo mkuu
 
unaambiwa ukweli unaleta nyodo zako nyambaf******* wapigie uwaulize au nenda mwenyewe physically mbinafsi mkubwa we huna cfa ya kua mwana jf.

utakufa na hasira bi mkubwa
 
nawewe kujua kama watu wameitwa kwenye interview sio lazima iwe hapa, ungeuliza ulikokuta tangazo kama sio kuwapigia sim wahusika faaala wewe

pigana na maisha hasira tupia katika jitihada za kutunisha walet. utakufa ukisema ---- na huna kitu. Elimu ya kujua baya na zuri huna hata pesa ukose jikaze bwana. Ukiona huna sehem ya kupunguzia hasira kalime
 
Kazi Oryx?? Una ndugu yako pale?? La sivyo usipoteze muda mzee....

unachosema ni kweli ila let keep other things constant, we do consider only postive things. But thanks man
 
unachosema ni kweli ila let keep other things constant, we do consider only postive things. But thanks man

Ni vizuri kuwa na matumaini nakubali lakini mfumo wa kuajiri oryx ni kumleta ndugu yako kwanza, matangazo kwenye magazeti ni modality tu pale. Fuatilia surnames za wafanyakazi wengi pale utakuja kunipa jibu, watu hawaoni noma kuajiri watoto wao. Kama kuna mtu alifanikiwa kuitwa kwenye interview Oryx na yumo humu atufahamishe tujue kilichojiri..
 
Aaaaaaah wapi! Kuna mtu nilimfanyia mpango kwa HR mmoja hivi, nikampa email atume cv na veti! Basi kujifanya mwema sanaaa kawapa na wezie afu vipanga zaidi yake na veti vizuri haswaaa!

HR akawapambanisha kwenye interview likachemka bwanaaaaa! Akanifata kulia lia nikamwambia ukomeeee! Kiherehere chako kimekuponza! Aliekutuma ujiongezee ushindani nani?

Ungepeleka mwenyewe ioneka kuna under application uajiriwe na ubovu wako! Mpaka leo anatafuta kazi.

Kwenye kazi hakuna urafiki, ni kama vitani! Winner takes it all!!!!!!!!!!

teh! Hili nalo jineno!
 
Back
Top Bottom