hakumanisha kama hajawahi kumpa mumewe hayo ni maneno ya kawaida kwa wanaume na wanawake waroho eti sijawahi kumbe anasema hvo kwa kila mtu ili aonekane tu s/he is deep chezea wabongo
Re: Jamani mke wangu amekiri alinisaliti!! sasa hapo anataka ushauri gani? au anataka aabiwe msamehe kitanda hakizai haramu? au unataka kusema unawapenda sana wazee wa huyo kicheche huwezi kuwakatalia japo kua mtoto wao kicheche? ebu jikaze kiume mwanamme anatakiwa awena mamuzi ya kiume...
sina uhakika na hizi detailz za huyu jamaa hivi kweli hayo mambo anayasema yangelikuwa kweli MTIKILA asingenyamaza angesema me nadhani anamaralia ya kupanda kichwani
Re: Ni nini hasa kilichowagombanisha Lowassa na Alhajj Membe?
By Pasco
Mnyisanzu, kwanza hakuna ugomvi wowote kati ya watu hawa bali wanatofauti tuu katika comon interest ya urais wa 2015.
Kuna viongozi ambao ni born leader na made leader. Membe ni made leader na Lowassa ni born leader...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.