Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Na ulipataje muda wa kufuatilia posts zao na muda wanaopost... If I may ask. Na je anayeandika na anayesoma kwa wakati huohuo ni nani hana muda?.... Humlishi hakulishi... Kama amekukera mpotezee, kama kakufurahisha jiunge naye.... Na hili ndilo neno la ODM.

Labda na yeye anahitaji kozi ya internet. Dena Amsi atakuwa na wanafunzi wengi.
 
Mimi niliinwa Tarakea tulipoenda kucheza mpira na Namfua Secondary. Nyeupeee. Wanaweka ulezi kwa kubania. Mbege is much better.

Basi ni nzuga hiyo. . .
Ahhhh mbege haina mpinzani.
 
Afu kama nahisi kaharufu ka kikwapa cha Afrodenzi.... Hebu nleteeni haka kabinti, kuna ukaguzi flani hivi sikuufanya.

Labda hii imesababishwa na yeye kushinda JF tokea juzi kama mleta uzi alivyojaribu kudai (though keshaomba msamaha)?
 
Kama atakubali. Itabidi mjadiliane hilo.

Ila hapana aisee. . . mi nataka siti tena first class nitulie kwa raha zangu. Sio nisimame huku mikono nayo inachoka kujishikiza nisianguke.
 
Its just a feeling. I hope its not. Maana nimeshamwona Kongosho anadadisi kiaina.
:behindsofa:

Kongosho ndio zake.
Mi nlidhani ungefurahi kama ningekua dada yako.
Hutaki kukusanya mahari JF?
:spy::spy:

Sio ndio hapa najaribu kufurahi? Lakini kama ni kweli trip ya vekeshi Malawi inabidi ife. Sitahimili kumwona dada yangu anavuliwa nguo live.

:shut-mouth::A S embarassed::shut-mouth:
 
  • Thanks
Reactions: EMT
topic hii imenifungua macho mwanamke huyu anaevutia waliowengi including me hajaolewa waooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo lizzzzzzzy.
 
topic hii imenifungua macho mwanamke huyu anaevutia waliowengi including mwe hajaolewa waooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo lizzzzzzzy.

Hahahahhaha. . . Kaaazi kweli kweli
 
je umewahi kufikiria kuwa hao wanaojibu
thread hata hawaishi tz ? Saa nane ya usiku tz ni lunch time huko waliko ..

Si kila mwana jf anaishi bongo wakuu ..

masaa 24 hayana nchi gani unakaa, kwani kuna baadhi ya watu kutwa nzima na usiku wako jf. Hata kama angekuwa australia, usa, uk, asia, n.k masaa ni yale yale 24. Kwahiyo haijalishi uko nchi gani. Kila kitu kikizidi ni sumu na huwezi kuwa efficient katika mambo yako mengi, kwani utakuwa unawaza umbea muda mwingi. Kwani, hata ukiangalia hao wanaokaa muda mwingi kwenye jf, hata michango yao wkt mwingine ni kama umbea tu.

Huyo dada aliteleta thread hii kasema ukweli na ni kweli kuna watu humu wanahitaji kuponywa kifikra. Tatizo ni kwamba wengi wetu hatutaki kusikia ukweli ambao kwetu ni changamoto.

Jf ni nzuri sana kwa wale wenye kujielewa na kuelewa nini thamani ya muda na ni mbaya sana kwa wale ambao hawajui nini mpangilio wa muda.

Message delivered. Bye.
 
ila hapana aisee. . . Mi nataka siti tena first class nitulie kwa raha zangu. Sio nisimame huku mikono nayo inachoka kujishikiza nisianguke.

fcfs...
 
Ujue mie nimelelia timu pinzani na EMT?!!
Naenda kumwambia tuongee kigagagigikoko

Its just a feeling. I hope its not. Maana nimeshamwona Kongosho anadadisi kiaina.

Kongosho ndio zake.
Mi nlidhani ungefurahi kama ningekua dada yako.
Hutaki kukusanya mahari JF?

Sio ndio hapa najaribu kufurahi? Lakini kama ni kweli trip ya vekeshi Malawi inabidi ife. Sitahimili kumwona dada yangu anavuliwa nguo live.

Say something darling. . . Spying and hiding won't fikisha ujumbe.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
,
Umejuaje kama si umbea, we ulikuwa unafanya nini muda huo, je unadhani muda unalingana nchi zote? JF ni kila mtu kwa wakti wake au huwa tunakupigia kelele mamabibi??????
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Halafu kumbe umekwama wapi? Mbona masaa yeshaenda hivi na bibi kanipigia simu kunitaarifu kashafika kwao? Usisahau kuja na matokeo ya ule mchezo tulocheza jana usiku...

Niko njiani babu....ila kwa ajili ya furaha yako...ushindi ulikuwa wako jana....hongera sana babu!
 
Ila hapana aisee. . . mi nataka siti tena first class nitulie kwa raha zangu. Sio nisimame huku mikono nayo inachoka kujishikiza nisianguke.

Usikubali kamwe kujishikilia, shikiliana dearest...huyu EMT ana pozi za ajabu, kama kuja na aje bwana...ah!
 
Back
Top Bottom