only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Jamaa mmoja alipandishwa cheo...baada tu ya kupandishwa cheo akampa taarifa mke wake,na kwa kuwa mke wake alikuwa na wivu na mume wake akaanza chokochoko;
Mume: Mke wangu nimepandishwa cheo,hivyo natakiwa niajiri secretari
Mke: Hongera sana,ila itabidi uajiri secretari mzee na mwenye sura mbaya
Mume: ok sasa utaanza lini kazi?
Mume: Mke wangu nimepandishwa cheo,hivyo natakiwa niajiri secretari
Mke: Hongera sana,ila itabidi uajiri secretari mzee na mwenye sura mbaya
Mume: ok sasa utaanza lini kazi?