Kama wanamtaka kwanini wasimteue kugombea urais huko kwao? hiyo peke yake inatosha kumuengua katika kinyang'anyiro hicho kwani amejitaja kuwa yeye ni kibaraka wao. Asante kwa taarifa
Ametuonyesha umuhimu wa kuwa na katiba mpya ambayo itaweka wazi idadi ya wizara na majina yake kwani mtu kama huyo ambaye ni miongoni mwa wagombea watarajiwa wa urais wa chama chake endapo akiwa ndiye kiongozi wa nchi anaweza kujiamulia kuweka mawizara kibao yasiyo na tija.
Kwani Meya wa jiji...
sawa, pole sana kwa usumbufu. kama nilivyosema huyo jamaa ni walewale, itakuwaje ajisingizie kuwa ni balozi wa tanzania nchini botswana wakati hakuna ubalozi huo? kwa nchi za kusini; Namibia, Swaziland , Lesotho na Angola hatuna ubalozi. Huyo jamaa kwanini muda mwingi anakuwa mtaani kwenu badala...
Hii miaskofu uchwara injili ikiwashinda inahubiri siasa wasizozijua. Wawasaidie waumini wao kumjua Mungu na kumtii ili pamoja na shida wanazopata hapa duniani wafike mbinguni kuliko kuwafanya wakose vyote.
Huu ni uhuni, wanafikiri kuwa barabara zetu zinatumiwa na watanzania pekee? jamani tutaacha lini ubabaishaji kila sehemu! kama hazitakiwa kutumika sasa iweje zimewekwa sasa si wangeweka muda huohuo zinzpotakiwa kutumika?
Kutumia neno tetesi nadhani limetumika vibaya katika maelezo yako. Si suala la tetesi bali ni ukweli kwamba Tanzania haina ubalozi nchini Botswana, balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini ndiye pia anaiwakilisha TZ huko Botswana. Pompous za huyo jirani yako ni matatizo yake ya makuzi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.