Amekuja kuangalia sehemu yake ya KIGAMBONI tuliobadilishana na vyandaruaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Halafu walimu wetu wa historia wanadai waafrica tulikuwa na nguvu na tupo stable kuliko wazungu saijaona mahala popote wa tz tunashinda hila za wanzungu hata moja