George Bush amekuja kufanya nini Tanzania?

anataka kuhakikisha kigamboni yake haijazama baharini,na pia kumshukuru kwa mara nyingine tena jk kwa kuwapa madini ya uranium.
 
usiulize makofi polisi, amefuatilia maendeleo ya dili lake la madini ya Uranium; jamani vitu vya bure vina gharama, wasipowaambia muwe mashoga watahakikisha kila natural resource mliyo nayo wanaimiliki wako!!!!
 
Ndio maana naona katiba yetu ina mapungufu na inafaa iangaliwe upya,tabia ya siri siri ktk uwekezaji hapa Bongo inazidi kulitafuna taifa letu vibaya sana. Eeee Mungu tupe watanzania ujasiri wa kutambua na kuzuia mali ulizotupa tangu ulipoiumba dunia zisiendelee kuporwa na mabeberu wakishirikiana na watanzania wenzetu.
Najua kuapa ni dhambi lakini kwa hili naapa" HAIWEZEKANI RAISI WA MAREKANI AJE BONGO KWA ISSUE ZA CHARITY TU" eti chandarua, cancer nk nk!!!!!kumbukeni Marekani haina rafiki wa kudumu, wanachoangalia ni maslahi tu.
 
Mmeongea yote mmesahau kitu kimoja ambacho mmekiona ni kidogo sana kwake nacho ni A-Z Arusha!!!!!!!
 
MgungaMiba;2920468] Amekuja kwa Freemason mwenzake kumpa "Further Instructions!"
................NAUNGA MKONO HOJA!!
 
Jamani mbona iko wazi jamaa anaviwanda vya silaha je hapo uwezi kujua kilichomleta??
 
Halafu walimu wetu wa historia wanadai waafrica tulikuwa na nguvu na tupo stable kuliko wazungu saijaona mahala popote wa tz tunashinda hila za wanzungu hata moja
 
Amekuja kuangalia sehemu yake ya KIGAMBONI tuliobadilishana na vyandaruaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Halafu walimu wetu wa historia wanadai waafrica tulikuwa na nguvu na tupo stable kuliko wazungu saijaona mahala popote wa tz tunashinda hila za wanzungu hata moja

Miaka 50 ya Uhuru, Tanzania ya tatu kwa kuomba misaada duniani. Inafuata Iraq na Afghanistan, ndo maana wakamwita Bush aje kuongeza nguvu ya misaada ili tuwe wa kwanza kabisa kwa pupewa misaada duniani!

Kweli tumeharibu tunawezwa na tunasonga nyuma!!!
 
Back
Top Bottom