Mukama, Dr. Bana on CCM Kujivua Gamba on TBC!

Mukama, Dr. Bana on CCM Kujivua Gamba on TBC!

Wanabodi nilishindwa kuendeleza update jamaa walikuwa wanazungumza Kiingereza kigumu huku wakitumia mabombastic.

Kipindi kimemalizika kwa tribute kwa Mzee David Wakati
Asanteni!.
 
hakuna cha maana anachosema mukama. eti wagombea ubunge wa ubungo na kawe walikwa wrong choice. Who choose the to contest for the positions if not CCM. wakati wanawachagua hawakuona kama ni wrong ila baada ya kushindwa wakawa wrong.

Mukama kama ni mtu ambaye wangewua wanaongea "lugha" moja na Jk kuhusu magamba na zaidi ya kuongea lugha wangekuwa wanakwenda ukurasa kwa ukurasa sambamba basi CCM ingekuwa imeshafika hatua ya nne au ya tano na sio sasa wako hatua ya Pili na wanataa kurudi nyuma .

kikwazo kwa mukama ni JK.Laini kikwazo kwa JK si mukama
 
Watuhumiwa wa ufisadi sasa wataandaliwa mashitaka ya kichama na kuitwa na mahakama ya chama na kuhukumiwa kwa mujibu wa chama ila hukumu hizo zitazingatia kukiimarisha chama na sio kukibomoa chama.

Hii maana yake wakishakubali fulani ni hatari zaidi aking'olewa kuliko akiachwa, ili kuepusha chama kusambaratika watawaachia!.

Kuna maswali mengi kwenye hayo maelezo ya Mukama.

1. Tangu lini Chama kina kitengo cha kuchunguza ufisadi?
2. Tangu lini Chama kinaweza kuthibitisha ufisadi uliofanywa serikalini?
3. Je, Chama kikithibitisha hizo tuhuma za ufisadi, mtuhumiwa atapelekwa mahakamani? Maana hao mafisadi wamefisadi mali ya umma na siyo mali ya chama.

Hapo kwenye hukumu panaonyesha dalili zote kwamba kuna watu wanaogopwa. Kinachoendelea ni sarakasi tu na Operation Vua Gamba ndio imefikia tamati. Hakuna atakayevuliwa gamba wala nini.
 
Watuhumiwa wa ufisadi sasa wataandaliwa mashitaka ya kichama na kuitwa na mahakama ya chama na kuhukumiwa kwa mujibu wa chama ila hukumu hizo zitazingatia kukiimarisha chama na sio kukibomoa chama.

Hii maana yake wakishakubali fulani ni hatari zaidi aking'olewa kuliko akiachwa, ili kuepusha chama kusambaratika watawaachia!.

Wanaandaa mashtaka wakati wanajifanya kuwa hawawajui watuhumiwa wa ufisadi? hawa jamaa vipi? haya ni matumizi mabaya ya radio ya umma.
 
Hilo aliliombea radhi tangu mwanzo kwa kusema yeye sio msomi ki hivyo!.

Hivi kweli kuna wazungu wanaangalia kipindi hiki?.

Hivi kwanini hiki kipindi kisiwe kwa lugha ya KISWAHILI tu... Maana mtu anakua na tension ya lugha + swali.
 
Kuna maswali mengi kwenye hayo maelezo ya Mukama.

1. Tangu lini Chama kina kitengo cha kuchunguza ufisadi?
2. Tangu lini Chama kinaweza kuthibitisha ufisadi uliofanywa serikalini?
3. Je, Chama kikithibitisha hizo tuhuma za ufisadi, mtuhumiwa atapelekwa mahakamani? Maana hao mafisadi wamefisadi mali ya umma na siyo mali ya chama.

Hapo kwenye hukumu panaonyesha dalili zote kwamba kuna watu wanaogopwa. Kinachoendelea ni sarakasi tu na Operation Vua Gamba ndio imefikia tamati. Hakuna atakayevuliwa gamba wala nini.

Mkuu umesahau CCM wanacho hata kitengo cha kuamua nani raia na nani sio hapa Tz? The Bashe case.
 
...Sio Ubungo na Kawe tu, Almost nchi nzima!

Kama anakubari Ubungo na Kawe walisimamisha wrong candidates, kwanini basi asi-admit
pia nafasi ya urais nayo walisimamisha wrong candidates? (Form >80% to 60%) Je huyo
alikuwa right candidate? Mkama Ger real MURA
 
mukana anakiri vyama vya upinzani vinawapekeka puta, anakiri hii ni challenge. Mukama amekiri ccm ili weka wrong choice of candidates ubungo na kawe!.
hawa ccm ni wahongo kwani walosimamishwa c ndo hao walokuwa washindi ktk kura za maoni maana yake ndo walikuwa juu, hao wengine ndo wangeshindwa vibaya, mukama muongo
 
Mukama alishindwa Kuliendeleza Jiji na Dawasco kweli liCCM lilivyokubwa na migogoro mingi ndio ataweza? Nape akisema hili yeye anasema hakutumwa kusema, siwezi kumsikiliza hata kidogo maanaataleta yale yale ya Makamba , labda kama CCM inataka kujiokoa kutoka kifo kamili cha 2015 imrudishe aliyekuwa katibu kabla ya makamba mzee mandevu
 
naona dr bana anatikisa kichwa akionyesha kumkubali mkuu wake mzee mkama. Kaaaaazi kweli kweli

huyo dk bana si aseme tu kuwa na yeye ni kada wa magamba, maana huwa anapata sana kigugumizi panakuwa na hoja nzito agaist magamba.
 
Back
Top Bottom