Ninachoweza sema kwa hili ni kwamba ili tupate tanzania yenye maamuzi ya msingi na kwa maslahi ya nchi, wananchi wenyewe ndo wenye nguvu ya kuamua hilo, lakini nasikitika kwamba wananchi hatujajua nguvu tulionayo katika kufanikisha hili. Ubinafsi, usaliti na tamaa ya kupenda njia za mkato...