Kabota
Member
- Aug 15, 2009
- 63
- 10
Waigizaji wa kipindi cha Runinga cha Bongo Dar es Salaam kinachorushwa kupitia kituo cha TBC1 wamejikuta wakila za uso katika maonesho yao yaliyofanyika Kahama na Mwanza siku ya Eid Mosi na Pili.
Katika onesho ka Mwanza jamaa hao wakiongozwa na Dude na ambao walikuwa wamepelekwa Mwanza na Kahama na kampuni ya VSS waliishia kuchezesha watoto muziki na kuwapa zawadi huku wakishindwa kuzikonga nyoyo za mashabiki wachache waliokuwa wameingia kwenye Uwanja wa CCM Kirumba.
Kwa ufupi show yao ilikuwa haina kipya zaidi ya kuchukua binti mmoja hivi mrembo mwenye figure ambaye kwa wasukuma hapo ndo penyewe!
Katika onesho ka Mwanza jamaa hao wakiongozwa na Dude na ambao walikuwa wamepelekwa Mwanza na Kahama na kampuni ya VSS waliishia kuchezesha watoto muziki na kuwapa zawadi huku wakishindwa kuzikonga nyoyo za mashabiki wachache waliokuwa wameingia kwenye Uwanja wa CCM Kirumba.
Kwa ufupi show yao ilikuwa haina kipya zaidi ya kuchukua binti mmoja hivi mrembo mwenye figure ambaye kwa wasukuma hapo ndo penyewe!