ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 236
Mimi nilimuona kuwa anafaa ni pale alipoelezwa kosa akaachia ngazi maramoja,
Nilimuheshimu sana nakumuona kuwa ni kiongozi baada ya kugundua kuwa kosa limefanyika japo sio yeye ila yeye ndio mkuu,
Tumezoea kuona vitu kama hivyo wakifanywa na wazungu tu! ila yeye anafahamu uongozi nini kwanini hawa wengine hawajiuzulu?
Kwani hawafanyi makosa?
unajua gharama za kujiuzulu?
Kama ilivyomuuma makosa yalipo fanyika nchini mpaka akaamua yeye mwenyewe bila kushinikizwa na wananchi kwamba ajiuzulu ndivyo itakavyokuwa vigumu kufanya kosa tena ili ajiuzulu tena utake usitake................
Kiongozi ni razima awe mwoga na inabidi aumie pindi kosa linapofanywa na watu wake,
Mwingine kama kweli ana roho ya uongozi likifanyika kosa au hasara wengine wanajiua.
Lakini unakuta kiongozi anafanya kosa au linafanyika kosa chini yake ata hachanganyikiwi
REV...... nakuunga mkono upo sahihi kwa mtu ambaye awezi kuwazua hatokaa akaelewa.
Nilimuheshimu sana nakumuona kuwa ni kiongozi baada ya kugundua kuwa kosa limefanyika japo sio yeye ila yeye ndio mkuu,
Tumezoea kuona vitu kama hivyo wakifanywa na wazungu tu! ila yeye anafahamu uongozi nini kwanini hawa wengine hawajiuzulu?
Kwani hawafanyi makosa?
unajua gharama za kujiuzulu?
Kama ilivyomuuma makosa yalipo fanyika nchini mpaka akaamua yeye mwenyewe bila kushinikizwa na wananchi kwamba ajiuzulu ndivyo itakavyokuwa vigumu kufanya kosa tena ili ajiuzulu tena utake usitake................
Kiongozi ni razima awe mwoga na inabidi aumie pindi kosa linapofanywa na watu wake,
Mwingine kama kweli ana roho ya uongozi likifanyika kosa au hasara wengine wanajiua.
Lakini unakuta kiongozi anafanya kosa au linafanyika kosa chini yake ata hachanganyikiwi
REV...... nakuunga mkono upo sahihi kwa mtu ambaye awezi kuwazua hatokaa akaelewa.