tutendelea kula nyasi wana JF, kwani bado tunaongea sana na kutoa majibu rahisi kwa maswali magumu. Tatizo lipo katika kuwajibishana, tusisahau kuwa TANROAD ni agence ya serikali, na serikali haina mkono wake moja kwa moja kiuwajibishanaji, so kazi ipo kweli. INANIUMA SANA, NIKIFIKIRIA, HUWAGA...