Huyu mzee ni fisadi tu hana jipya. Kwanza ni mdini. Pili yupo bitter baada ya kuwekwa benchi na kuondolewa kwenye lineage ya wala nchi..thats the motives msiwe naive mazee.
Majinga utayajua tu,huwa yanajibu bila fact,kipi cha ajabu hapo.hata mpagani ni mdini,kama aliondolewa kwenye lineage ya wala nchi baada ya yeye kukataa ku collaborate anageuka kuwa fisadieee.kaazi kwerikweri