Labda Naelewa vibaya lakini nafahamu ukiwa unachukua hela nyingi kama above 3m...huwa wana confirm na brach yako au...unaambiwa nenda Nje kwenye ATM.
Print Risit ambayo itakuwa na jina laki na balance iliyopo...then unapata kiwango chako unacho taka.
The same na CRDB..Kama account yako iko Kahama na wewe unataka kuchukua pesa mbeya.Lazima wa confirm na brach yako Kahama au the same way kwenda kwenye ATAM machine...print that ka risit.Barclays wao ni ndani card yako na kitambulisho chako cha kazi au mkazi...ili uweze pata vijisent.
I wish ingekuwa rahisi hivyo.
Hakuna mtu anawakatalia wasi-confirm na branch yako. Tatizo ni mda unaowachukua kufanya hivyo.
Kuna mshakaji wangu juzi hapa akaambiwa asubiri fax irudi. Baada ya saa moja hivi machale yakamcheza. Akawaambia basi shughulikieni hiyo fax ntarudi kesho. Kesho yake asubuhi anaibuka anaambiwa fax bado haijajibiwa ... tehe tehe ... it takes a few minutes to communicate na ki-robot kilicho mars ... hata kwa kutmia fax.
Baada ya kusubiri fax mpaka kesho yake ndio wanamwambia branch yako wanataka wakuone wenyewe. So ikabidi afunge safari kwenda kuchukua pesa zake... 3 days gone. Hata dili aliyokuwa anataka kuifanya ilisha-expire, akasema bora tu akakombe pesa zake aeke nyumbani.