Inasemekana ni chanzo cha mapenz kuwa jamaa alikuwa anataka kutoka mida ya saa 6 usiku akiwa bafun anaoga akasikia kuwa anaedaiwa kuwa ni mpenz wake anaongea na simu na mwanaume mwingine ukatokea ugomvi wa apa na pale ndipo kanumba akasukumwa akaangukia kisogo
source:clouds fm kutoka sinza vatican
ku appeal ni sawa na kaz bure..sikushaur kwa hilo,matokeo yatarud vile vile..au akafel zaidi..d kua f..anyway nakumbka miaka 2 nyuma gharama ilikua kw somo 1 ni elfu 20,zen ts long process coz lazma kuchukua 4m baraza then u send kwa xul aliyosoma dogo..kwa ajil y signatur y mkuu w shule...ila...
Hakuna ushirikiano kabisa fain laki 1 kisa umechelewa kureport dis z f**n system..ukiwaambia w2 kugomea hii hali raia wanakuambia nenda mwnyew c 2naogopa kufukuzwa!haya ss loan nayo ndo io..kila cku inapgwa kalenda..unafikir wadada wataacha kujiuza! Naweza xema saut ni kama seminary!..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.