Mkongo na Kinyozi wa Kibongo.

Mkongo na Kinyozi wa Kibongo.

aseee for sure umeniacha hoiiiii hooiiii hoi kabisa sio uongo
 
mvua zinaamabtana na radi, sasa mkongo alipata radi ya kimya yenyewe inakuja
 
ikinyesha mvua ya mavi baada ya mda mfupi hilo eneo kuatkua na rutuba ajab.
 
vipi hali yako iko bye..? asee nilikaa na mama mmoja hivi kwenye mgahawa flani wakati wa lunch..! nadhani alikua kama huyu kinyozii..!
 
vipi hali yako iko bye..? asee nilikaa na mama mmoja hivi kwenye mgahawa flani wakati wa lunch..! nadhani alikua kama huyu kinyozii..!
Hahaahaaa, sasa msosi ushuka kweli?
 
hahahahahahahahaha.....lol..inaelekea kijambo alichokitoa kilikua kile cha yusufuuuuuuu kinatokaga kimyakimmya lakini harufu yake unaweza ukatapika
Ulivyoifafanua vizuri nadhani sometime huwa unapiga ki-ysufuuuuuuu!
 
Back
Top Bottom