Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,355
- 78,421
mshafika kwenye vyumba vya kambi yao ya mazoezi?...simba na yanga ni baadae sana kufika waliko jamaa
Kuna tofauti kubwa kati ya timu ya mtu binafsi(ukoo) na timu za wanachama unakosea sana unapofananisha simba.yanga na azam,unatakiwa kuifananisha azam na tp mazembe ya moses katumbi cos ni club zinazo milikiwa na mtu,simba na yanga zitabaki kuwa lengend timu cos hapa mapato zinapokutana zinyewe hufika hadi bilioni,so mabac yetu yanakuja kwa udhamini wa tbl,tunaipongeza azam na si kutubeza sisi kwa mafanikio yao ss tunayachukua kama changamoto tu,ila sio kutubezaSafi sana,changamoto kwa timu zetu nyingine wazee wa double coaster...
Hama................likichakaa unarudi..............inogile,sijui nihame simba?
hii ni timu hasa. achana na yanga au simba-bure
Kuna tofauti kubwa kati ya timu ya mtu binafsi(ukoo) na timu za wanachama unakosea sana unapofananisha simba.yanga na azam,unatakiwa kuifananisha azam na tp mazembe ya moses katumbi cos ni club zinazo milikiwa na mtu,simba na yanga zitabaki kuwa lengend timu cos hapa mapato zinapokutana zinyewe hufika hadi bilioni,so mabac yetu yanakuja kwa udhamini wa tbl,tunaipongeza azam na si kutubeza sisi kwa mafanikio yao ss tunayachukua kama changamoto tu,ila sio kutubeza
samahani naomba web ya simba au yanga!!
haujaelewa kitu gani au hujui azam football club ni nini?thread haieleweki, tunashindwa kuchangia. Jipange upya ndugu