AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Hello magreat thinkers! Mdogo wangu kapata dv3-22 csee 2011, but comb hazjabalance kutokana na kupata D ktk masomo ya Geo Phys na Histr, so naomba naomba msaada kwa jinsi ya kukata rufaa kwa matokeo na mda unaochukua hadi kupata majibu ya rufaa pamoja na gharama na negative effects zake.. Naomba kuwasilisha.