Enzi zako ulipata div ngapi ? Sema ukweli

Enzi zako ulipata div ngapi ? Sema ukweli

hizo div. hazitoshi. ni bora mmgeeleza mko wapi kimaisha,
kkwa maana wapo wa div sifuri lakini kimaisha wanapaa si mchezo 🙂

Hilo nalo neno!
Kuna jamaa nilimaliza nae O-level alipata div 4 yeye hakuendelea A-level, lakini sasa ana miliki kampuni 3 na bangaloo kama 4 na magari kama 6.

Lakini mie nipo na house moja na kamkweche kangu pamoja na kupata div 2 yangu.

Ninachotaka kujaribu kuchangia hapa ni kuwa kufauru masomo sio kufauru maisha ingawa elimu ndio njia sahihi na rahisi kuyamudu.
 
Hilo nalo neno!
Kuna jamaa nilimaliza nae O-level alipata div 4 yeye hakuendelea A-level, lakini sasa ana miliki kampuni 3 na bangaloo kama 4 na magari kama 6.

Lakini mie nipo na house moja na kamkweche kangu pamoja na kupata div 2 yangu.

Ninachotaka kujaribu kuchangia hapa ni kuwa kufauru masomo sio kufauru maisha ingawa elimu ndio njia sahihi na rahisi kuyamudu.

Kwani watu wanajua hili?
Wanajua ukifaulu darasani na maisha umefaulu.
Maisha hayako hivyo.
 
Kutokana na tatizo la kusahau sikumbuki nilipata div gani ila nakumbuka nilisoma o'level MTWARA TECHNICAL SEC SCHOOL na nilikuwa nyunga ya MECHANICAL- FITTING AND TURNING. Nitarud baadae nikiyapata matokeo yangu
 
Nilipata 0 ya nguvu na sasa nacheza movie na kupiga picha dizaini ya jukwaa langu
 
Mzembe nilizungusha duara nikarisiti nikazungusha tena aargh nikaona isiwe tabu nikazamia storoway nikazani linaelekea mamtoni kumbe likafunga gati somali, nikajua zali la kifahari sio langu acha nikomae kiswahili swahili tu.
 
Mzembe nilizungusha duara nikarisiti nikazungusha tena aargh nikaona isiwe tabu nikazamia storoway nikazani linaelekea mamtoni kumbe likafunga gati somali, nikajua zali la kifahari sio langu acha nikomae kiswahili swahili tu.
Aisee nimekumiss...
 
mnekimbusha mbali,nlikuwa kama nimelogwa secondari,hasa yan prep ya sa4 ucku nlikuwa nalala clac,alaf shule yetu enz izo kusoma ilikuwa mwisho sa4 ucku sasa ile muda wa kuiba sa8 yan -musipark- ucku nashindwa,nlipofka fm4 watu walitegemea ntakuwa hoi bt nkala One ya 14 na hajabu nlipata A ya kiswahili na A ya english,mara ya mwisho A ya kiswahili pale ilikuwapo enz za chama kimoja. Nlipokuja adv.nkaangukia pua II ya 11,ila chuo nkala 4.0 GPA . Namshukuru Mungu maisha ya uhasibu yananoga by now!
 
1 ya 16 Milambo sec na II ya 12 PCB Pugu boys!Nipo nabeba mabox huku naramba jiwe la pili ughaibuni!!
 
Mzembe nilizungusha duara nikarisiti nikazungusha tena aargh nikaona isiwe tabu nikazamia storoway nikazani linaelekea mamtoni kumbe likafunga gati somali, nikajua zali la kifahari sio langu acha nikomae kiswahili swahili tu.

Shemeji!!
Hata kama ni mapenzi ya uzeeni hapana! Ndio nini kupotea hivyo? Nlikwambia kuwa makini na watoto wa TA, warowekewa nguo weye ukihamaki unatulizwa na.... Ah laaziz, mi nliona zina vumbi nkasema nziroweke.... Lol

Karibu tena bana waona wasomi wanavyotunyanyasa maana sie wengine tulipata divitionless! Hata hiyo zero hatukuipata ( hv zero si inamaanisha hajapata kitu? Kwa nini wanasema umepata divisheni ziro?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom