Hiyo number 3,hivi shetani anatakiwa kulaumiwa kwa kila kitu akifanyacho mwana adam?
Number 2,porns ni unrealistic kivipi?
Kwani wanayoyafanya we huwezi kuyafanya?
Hao wazee wanazeeka vibaya sasa,kama huyo bitozi wa msoga si ametoka juzi juzi tu?
Leo anaenda kufanya nini?
Basi kuwarahisishia,ianzishwe wizara ya marais wastaafu
Na ofisi yake ijengwe hapo hapo ikulu
Miguu inawawasha hao
I will answer u as simple as u ask.
Bila Akili huwezi kutofautisha kati ya 'Bahati' na 'Mikosi'
Na bila kuwa na Akili huwezi kujua kama kuna kitu kinaitwa 'Bahati'
so Akili ndiyo ya kwanza..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.