mkalahalisi
Member
- Jul 25, 2015
- 80
- 7
Wakati wenzetu wanawaza tecnolojia watanzani tunawaza kuiba
Ha ha ha haaaaaBinadamu tuna roho mbaya sana yaani pamoja na huyo robot kutojua kuongea lakini bado wanamnyanyasa kwa kumsukuma sukuma
Nimeumia kidogo!
Maswali mengine bhana.Waliotengeneza ni binadamu au wazungu.
ha ha ha wazungu ni mashetani mkuuMaswali mengine bhana.
Teh teheeee......ha ha ha wazungu ni mashetani mkuu
Nayo ni 'sayansi' ya aina yake..lakini cha ajabu haionekani mchana ..ni usiku tu wakati watu tumelala.Hata kama hujalala kama sio mchawi huoni kitu.Muda umefika tuachane na fisi wa usiku.Tufanye tafiti zinazoeleweka..kama hivi
Mbona tushaanza kutumia robot bila kujijua. Mfano ni drone camera wanazofanyia shooting.Hizi ni robot, kwasababu ukiirusha juu inabaki hewani na kukufuata uendako.Nimependa walivyoAct robot inapita hata haiwaiangalii wanaendelea na shughuli zao as if kitu cha kawaida. By the time ni kitu cha kawaida sijui vizazi vyetu vingapi vimeozea chini.
Of course..technology inazidi kukua. Simu za mkononi-mobile phone- zina uwezo mara elfu moja ya hizo computer za zamani zilizokuwa zina ukubwa wa kama nyumba.Baada ya miaka kama mia hivi, wataangalia hizi robot na kucheka kama tunavyocheka computer za zamani zilizokuwa zinajaza lichumba lizima na kuendeshwa na watu wengi