Recent content by KasiLuka

  1. KasiLuka

    "Kuingia cha kike" inavyoshadadiwa na wanawake wenyewe!

    Eeeeh hapo kweli gari limewaka.
  2. KasiLuka

    Je, Mungu aliumba dunia kwa miaka Elfu 6?

    mkuu hili ndo jibu sahihi,,case closed,,
  3. KasiLuka

    Nimemsaidia mdada nikidhani mjamzito

    Hao tunawaita malegendary, hapo kwenye "kesho nikutafute" yaani kapindua meza, badala wewe ndio uombe kumtoa out yeye ndio anaomba, narudia huyo ni LEGENDARY , Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  4. KasiLuka

    Mzazi mwenzangu bado ananitaka licha ya yeye kuolewa

    interesting Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  5. KasiLuka

    Inawezekana vipi mimba ikawa yangu?

    *kwa yeyote asiyewajua watanzania halisi,huyu ni moja kati ya hao *asante
  6. KasiLuka

    Inawezekana vipi mimba ikawa yangu?

    Nazidi kuamini sijakosea kuamini nnachoamini,,wewe ni smart up stair
  7. KasiLuka

    Unafuata nini kwa mwanaume unapoolewa?

    Wakati mwingine tunaweza kujua uwezo binafsi wa mtu kupitia mchango wake(comment) ,mkuu wewe ni akili kubwa sana,,,bravo
  8. KasiLuka

    Kuna dada namdai hela anasingizia namtongoza, nifanyeje?

    *mengi wamesema waliotangulia,kama ulikuwa hujui basi kuanzia sasa ujue,,"huruma ni dhambi",kila la kheri
  9. KasiLuka

    Shule Binafsi zinawaumiza Wananchi kwa kutoza ada kubwa

    Aiseeee,tunasafari ndefu sana ,kwa majibu haya
  10. KasiLuka

    Wachunaji wa ngozi watakiwa kuwa na leseni

    Tulia mkuu,,picha ndo kwanza linaanza
  11. KasiLuka

    Civil Engineer natafuta kazi, HR & Project Managers Naomba Msaada

    Kwamba aende akae vizuri na manager ,mkuu hivi ulichokiandika unakielewa?? Mtu wa trainee(SEAP) sio rahisi kama unavyozani mkuu kwa ulichokisema,,,hivo vitu vinaenda kwa ngazii mkuu,natamani kusema sana ila Cha niishie hapa
  12. KasiLuka

    Elewa huu mtego kwanza ndio utajua biashara nzima ya Forex

    "Jamaa yangu mmoja alinambia ,nanukuu" kama ulivo utajiri, forex is not for everyone" mwisho wa kunukuuu,,mleta mada kwa namna moja au nyingine umethibitsha huo msemo(baadhi ya maneno yako kAtika gazeti lako,umesema forex is real business, pia umesema forex ni betting kwa hiyo usitegemeee mambo...
Back
Top Bottom