Hao tunawaita malegendary, hapo kwenye "kesho nikutafute" yaani kapindua meza, badala wewe ndio uombe kumtoa out yeye ndio anaomba, narudia huyo ni LEGENDARY ,
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Kwamba aende akae vizuri na manager ,mkuu hivi ulichokiandika unakielewa?? Mtu wa trainee(SEAP) sio rahisi kama unavyozani mkuu kwa ulichokisema,,,hivo vitu vinaenda kwa ngazii mkuu,natamani kusema sana ila Cha niishie hapa
"Jamaa yangu mmoja alinambia ,nanukuu" kama ulivo utajiri, forex is not for everyone" mwisho wa kunukuuu,,mleta mada kwa namna moja au nyingine umethibitsha huo msemo(baadhi ya maneno yako kAtika gazeti lako,umesema forex is real business, pia umesema forex ni betting kwa hiyo usitegemeee mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.